Leo nimemvulia pendo rasmi Manka

Mitihani mingi wanaandika namba!!
ni mtiani gani huo?
 
Tafuta saiz yako, mm pia chuo nlivyokuwa chuo saiz zilizokuwa sio zangu zilinishinda km ww hvyo hvyoo hauna pesa achanaee huyooo
 
Tafuta saiz yako, mm pia chuo nlivyokuwa chuo saiz zilizokuwa sio zangu zilinishinda km ww hvyo hvyoo hauna pesa achanaee huyooo
sawa kaka nimekupata lakini kuna ambao hawana pesa lakini wanachuka magoma makali au ndo mwenye kisu kikali ndio anakula nyama
 
mkuu sasa swali langu ni mja tu vipi anakujua kwa sura kwani
 
sawa kaka nimekupata lakini kuna ambao hawana pesa lakini wanachuka magoma makali au ndo mwenye kisu kikali ndio anakula nyama
Komaa mwanangu ila inabidi uwe real tu kwake inawezekana mimi nlizunguka mwaka mwsho nlishinda
 
mkuu sasa swali langu ni mja tu vipi anakujua kwa sura kwani
ananijuaa sura ndio nshawahi mfata nikapiga nae story ila hayuko comfortable kwa face to face conversation ni binti fulani mwenye aibu hivi ila kwa simu mjanja.
 
daaah kaka kwa saiv ngoja nitulie kidogo nimeshajaribu lakini naona bado mambo hayasomeki nilijipa moyo hivyo hivyo kuwa labda atabadirika lakini mapuuza yamezidi. Inshort pale SIPENDWI
 
Soma umalize utafute hela dogo,mapenzi yapo tu, after all mke wako ndy kwanza yuko daraa la 5 sa hv, mwenzenu kwa ujinga kama huo kanyonga mtu huko Iringa na huwenda akatumia maisha yake yote yaliyobaki nyuma ya nondo.
 
Chuo gani hiko mnaandika majina.hahhaha....hivi vyuo inabid mama ndalichako afute kabisa. Ndo product zenyew hiz
kuna ubaya gani mko mnafanya test mkaandika maiina na reg number zenu. Kama kwenu hamkuwa mnafanya hivyo sie kwenye TEST zetu tunafanya hivo.
 
Soma umalize utafute hela dogo,mapenzi yapo tu, after all mke wako ndy kwanza yuko daraa la 5 sa hv, mwenzenu kwa ujinga kama huo kanyonga mtu huko Iringa na huwenda akatumia maisha yake yote yaliyobaki nyuma ya nondo.
Asante kaka saivi nimepiga chini rasmi, kama kuna mrejesho ntaja leta badae.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…