Oscar Lyrics
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 2,945
- 5,039
Kitendo cha kujiuliza jambo kama hili tayari ni 🚩Au nimezingua wananzengo?
Kwahiyo tukikwambia kua umezingua utachukua uamuzi gani?Au nimezingua wananzengo?
Huwezi amini ni kanda ya ziwa mkuuBila shaka ni daslamuuuu mkuu
Umezingua sana, kwanza shindwa pepoNikiwa nimekaa zangu sehemu nimetulia, Sina hili wala lile mara simu inaita kucheki namba ni ngeni,
Ikabidi nisogee pembeni ambapo hakuna kelele ili niweze tuweze kuelewana vizuri,
Baada ya utambulisho nikagundua ni jamaa mmoja ambaye namfahamu tunaishi nae mtaa mmoja japo sijawahi kuwa na mazoea nae hata kidogo.
In short jamaa ni papai au kwa lugha nyingine tuseme ni Bwabwa, Siyo lazima uwe na D 2 ili uweze kunielewa,
Jamaa anachohitaji kwangu eti anitoe out ili tuweze kuongea vizuri, eti ametokea kunielewa, kwa upole nikamwambia sifagilii hayo mambo ya kula kisamvu cha kopo, yani hayo siyo mambo yangu.
Baada ya kuona jamaa hanielewi ikabidi nimchenjie mbaya kabisa nikamwambia nani kakupa no yangu anasema siyo muhimu mimi kujua, so nimemkaripia sana, naamini hatarudia tena kunisumbua.
Au nimezingua wananzengo?
Kivipi mkuuUmezingua sana
Ni Kanda ya ziwa, kiufupi ni kafir mwenzio sio kobaz kama ulivozanBila shaka ni daslamuuuu mkuu
Siwezi kujichanganya mkuuMkuu hilo ndio lakuja nalo huku na tena unauliza kabisq kama umezingua au lah..
Kifupi hapo mwanetu ni "staki nataka" huyo choko akikukazia kidogoo tu unaenda kuvunja hiyo amri ya 11..🤬🤮🤮🤮🤮
Sawa, acha niwe mpole tuSiwezi kujichanganya mkuu
Unamjua shetaniKivipi mkuu
Izo nywele kichwani umerithi kwa baba ako mzazi?Ni Kanda ya ziwa, kiufupi ni kafir mwenzio sio kobaz kama ulivozan