king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,038
Adui yako mwombee njaa... mi adui yangu namba moja ni nyoka, namba mbili Yanga na namba tatu CCM.
Huyo namba 3 umekosea kumuweka namba 3Adui yako mwombee njaa... mi adui yangu namba moja ni nyoka, namba mbili Yanga na namba tatu CCM.
Umeandika mawazo yanguAdui yako mwombee njaa... mi adui yangu namba moja ni nyoka, namba mbili Yanga na namba tatu CCM.
Aisee kwa Tz cjawahi kujaribu as migahawa ya wachina au watu wa bara Asia hope cku hizi wanaogopa serikali. Supu ya chatu mara ya kwanza niliikutaga makambi ya wakongo huko Kigoma japo ckuionja na nilipata kinyaa balaa.Mkuu hii kitu huwa naitamani sana kuila. Ni wapi hapa bongo naweza kupata kitoweo cha nyoka? Nazungumzia hoteli au cafe yyte
Mende waliwahi kutolewa utafiti hata na BBC, wapo so nutritious zaidi hata ya senene au kumbikumbi. We kusanya, kaanga, kulaMagu alivyobana, nawaza kuanza kula MENDE! najua ctapata washindani wengi
Ha ha haaa, hata ckushauri ujaribu. Hata mie nilimkula just to give a try! Umewahi kula nyama Za makopo?Mkuu wala hunishawishi aisee
Utaweza tu, kwani unaletewa akiwa na kichwa au magamba yake? Kitu kinakuja ni roast huku kimewekewa makarangizo balaa. Ila ukiomba na magamba unaletewa tu! Ipo kama sato ati...Hhhhaaaa
Hapo kwenye kula nyoka tafadhalii sili
Colin acha woga! Nyoka wako fresh tuWe mjamaaa umekula nyoka unataka watu wote uwalishe nyoka kwa kuwasifia kua ni watamu and nutritious aisee humpati mtu ale nyoka na mungu anakuonaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Usifananishe sato na vitu vya kijingaUtaweza tu, kwani unaletewa akiwa na kichwa au magamba yake? Kitu kinakuja ni roast huku kimewekewa makarangizo balaa. Ila ukiomba na magamba unaletewa tu! Ipo kama sato ati...
Sent using Jamii Forums mobile app
Usifananishe sato na vitu vya kijinga
Ha ha haaa!Usifananishe sato na vitu vya kijinga
Kwa kweli hata mie kwenye kuwafuga mmmh, hapana! Labda nipitie intense trainingSio kila nyoka analiwa....siku ingine ukienda mgahawani mwambie akuambiw na ugumu wa hiyo kazi ya kuwakamata kuwafuga mpaka stage ya kufungua mgahawa na watu wakaenda kula...kufuga nyoka ni mtihani kama kulima mpunga tuu, unateseka mwanzo mwisho alafu mtu wa mwisho ambaye ni mlaji ndio anaona kama ni vitu simple simple tuuu.