Kuna siku nilimpisha mzee aje akae kwenye siti afu mi gari nlikuwa nimegeuza nayo.Basi bana tukaenda nmesimama kwa tabu yule mzee alivofika kituo anachoteremka kuna dem alikuwa na matako akamuita aje akae afu mimi nipo.Nliapa sitokuja mpisha ntu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa. Very true
Unaishi wapi mkuu?Ila jamani kama mtu anajijua mjamzito halafu daladala imejaa anapanda ili iweje, avute subira apate daladala yenye aiti maana ukitegemea huruma eti mtu akupishe wakati kila mt5u kachoka kachoka na mihangaiko yakd na analipa nauli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila jamani kama mtu anajijua mjamzito halafu daladala imejaa anapanda ili iweje, avute subira apate daladala yenye aiti maana ukitegemea huruma eti mtu akupishe wakati kila mt5u kachoka kachoka na mihangaiko yakd na analipa nauli
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wenye hilo tatizo ni kanda maalum Tarime na RoryaMkuu umeandika ki`NGOSHA sana,dara dara ndio nini?
Mm nina kasumba ambayo weng hunishangaa, hua napenda kusimama hata km gr haijajaaa hasa km siend mbali, masuala ya kusumbuana kwenye kushuka sipend, unakuta mtu anapanda gari mawasiliano anashukia Liverside au mwananchi gari inaenda TBT kinyerezi anapanda halaf anaenda mpk nyuma kisa siti, sasa akianza kukusumbua unajiuliza huyu ana ubongo au maganda ya karanga?
Wrooooong!Kapitia ugumu gani wakati mimba ameipata kwa kuchanua miguu huku anachekelea?Nkt!ungempisha tu, wajawazito wanapitia mengi sana.
Bila shaka huu ni mwandiko wa mwanamke.Ila jamani kama mtu anajijua mjamzito halafu daladala imejaa anapanda ili iweje, avute subira apate daladala yenye aiti maana ukitegemea huruma eti mtu akupishe wakati kila mt5u kachoka kachoka na mihangaiko yakd na analipa nauli
Sent using Jamii Forums mobile app
"Usichoweza kukifanya wewe basi muheshimu mwenye kuweza"Sisi wanaume wa kweli na shababi tukikutana na wajawazito kwenye daladala huwa tunawapisha siti bila kujali hali maana tunaamini " Usichoweza kukifanya wewe basi mheshimu mwenye kuweza"
3x² + 5 + 4x³ - x² + 2x³ + 9