Yanga hasira zenu mnazihamishia kwa wajawazito, subirini jumamosi
HEAVY.Kuna siku nilimpisha mzee aje akae kwenye siti afu mi gari nlikuwa nimegeuza nayo.Basi bana tukaenda nmesimama kwa tabu yule mzee alivofika kituo anachoteremka kuna dem alikuwa na matako akamuita aje akae afu mimi nipo.Nliapa sitokuja mpisha ntu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kajikausha hataki kesi
Makalio yamekuponza Mkuu.. Kweli mdharau K, Kmamae..Kuna siku nilimpisha mzee aje akae kwenye siti afu mi gari nlikuwa nimegeuza nayo.Basi bana tukaenda nmesimama kwa tabu yule mzee alivofika kituo anachoteremka kuna dem alikuwa na matako akamuita aje akae afu mimi nipo.Nliapa sitokuja mpisha ntu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku nilimpisha mzee aje akae kwenye siti afu mi gari nlikuwa nimegeuza nayo.Basi bana tukaenda nmesimama kwa tabu yule mzee alivofika kituo anachoteremka kuna dem alikuwa na matako akamuita aje akae afu mimi nipo.Nliapa sitokuja mpisha ntu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatua ya tatu hii kuelekea kwenye uchawiumeanza vzuri.Baada ya kuwakomesha waja wazito sasa uwakomeshe wazee, viwete na wagonjwa.