MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
- Thread starter
-
- #21
Mtoto nilikuwa namtamani siku nyingi mkuu Basi tu, naona umri umeenda au pombeUlikuwa na hofu mzeee.
Ulivyokubaliwa kimasihara, ukaona naenda kupewe gonjwa nin?? Au ni malaya nin?? Mmmh negative feelings zimekimbizana na kuteka makao makuuu ya akili na hisia,... Lazima Jogooo asianze kuwika kaona bado giza jingi
Jongea tuongozane tuka muezi mleta uziRafiki tukaongee kidogo gesti ya jirani!
Eti tukaongeee gesti ya jirani, nae akakubali kweeeeli.Rafiki tukaongee kidogo gesti ya jirani!
Sijakuelewa kwann unasonya hovyo kwenye kila uzi
Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi, kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba Kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi, Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama, yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri, yaani nimejisikia vibaya mpaka aibu, binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu
Itakuwa ni pombe inabidi niache, punyeto Kuna mwanaume hajawahi kupiga?Pole sana mkuu!usirudie tena kupiga punyeto soon utakuwa gasho
Sent using IPhone X
Itakuwa ni pombe inabidi niache, punyeto Kuna mwanaume hajawahi kupiga?
Tafiti zilikwishafanyika, wanaume wote wazima wamewahi kufanya punyeto angalao Mara moja katika maisha yao, labda kama wewe sio mzimaMimi sijawahi kupiga
Sent using IPhone X
Mkuu mimi ni memba kamili naruhusiwa kuingia au kuchangia kwenye jukwaa lolote
Huu Uzi ndio uzi wa mwaka.Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi, kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba Kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi, Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama, yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri, yaani nimejisikia vibaya mpaka aibu, binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu
Asante mkuuHuu Uzi ndio uzi wa mwaka.
Pole
Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi, kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba Kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi, Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama, yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri, yaani nimejisikia vibaya mpaka aibu, binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu
Mkuu itakuwa ni sababu.ya pombe, sema niache biaFanya siasa mapenzi huyawezi.
Miaka 16 toka niwajue wanawake sijawahi uza mechi aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu itakuwa ni sababu.ya pombe, sema niache bia
πππππ