mafurikoyamoto
Senior Member
- Sep 13, 2013
- 160
- 53
- Thread starter
- #41
Hata manabii a kina samwel, joshua n.k waliota ndoto na zikawa kweli. ....una shangaa nn
Lowasa ndiyo habari ya mujini. Watanzania wanampenda sana na wana imani naye kubwa kuwaongoza
Lowasa hawezi kuwa Rais wa Tanzania na UKAWA hawatashinda uchaguzi ujao. Fullstop
Hiyo ndoto nilishawahi ota karibu Mara NNE lowasa ndiye rais ajaye.
Mida ya alfajiri leo hii niliota lowassa kashinda urais 2015 .... sasa tupo uwanja wa taifa rais anaapishwa. ...... ile kikwete anaamka anamkaribisha lowassa kwenye kile kiti maalum ..... kikwete akampa lowassa mkono lowassa akagoma kupokea. ....mara body guard wa kikwete akachomoa pistol anataka kumshoot lowassa. ..... bahati nzuri makamandoo wakaingilia kati. ..... punde si punde zikatokea chopper mbili zenye chata za USA zikampaisha lowassa hadi ikulu. ..... .......sikumbuki kilichoendelea ila watu walichanganyikiwa wengi walilia. .......
Niliogopa sana sikuweza kulala tena
Hii escrow itanifanya chizi
...... naomba kama kuna anaweza anitafsirie hii ndoto yangu. ..
Mida ya alfajiri leo hii niliota lowassa kashinda urais 2015 .... sasa tupo uwanja wa taifa rais anaapishwa. ...... ile kikwete anaamka anamkaribisha lowassa kwenye kile kiti maalum ..... kikwete akampa lowassa mkono lowassa akagoma kupokea. ....mara body guard wa kikwete akachomoa pistol anataka kumshoot lowassa. ..... bahati nzuri makamandoo wakaingilia kati. ..... punde si punde zikatokea chopper mbili zenye chata za USA zikampaisha lowassa hadi ikulu. ..... .......sikumbuki kilichoendelea ila watu walichanganyikiwa wengi walilia. .......
Niliogopa sana sikuweza kulala tena
Hii escrow itanifanya chizi
...... naomba kama kuna anaweza anitafsirie hii ndoto yangu. ..
Achana na viroba bwana
Kwa mara ya kwanza NAWASALIMU WANA JF...
Mida ya alfajiri leo hii niliota lowassa kashinda urais 2015 .... sasa tupo uwanja wa taifa rais anaapishwa. ...... ile kikwete anaamka anamkaribisha lowassa kwenye kile kiti maalum ..... kikwete akampa lowassa mkono lowassa akagoma kupokea. ....mara body guard wa kikwete akachomoa pistol anataka kumshoot lowassa. ..... bahati nzuri makamandoo wakaingilia kati. ..... punde si punde zikatokea chopper mbili zenye chata za USA zikampaisha lowassa hadi ikulu. ..... .......sikumbuki kilichoendelea ila watu walichanganyikiwa wengi walilia. .......
Niliogopa sana sikuweza kulala tena
Hii escrow itanifanya chizi
...... naomba kama kuna anaweza anitafsirie hii ndoto yangu. ..
Kwa mara ya kwanza NAWASALIMU WANA JF...
Unatumia kilevi gani mkuu?