Katika michezo ya kiboya kwangu ni huu!
Sitokaa nielewe mtu anapigwa ngumi kama zote hapasuki wala havimbi wqla hazimii ola akidondoshwa tu kalegea ananyukwa hala f anafufuka na yeye anatoa kibano cha kiboya kwa mwenzake vile vile yaani ungese ungese tu kama watu wa kanga moko tu
Sent using
Jamii Forums mobile app