Jeji JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,973 Reaction score 372 Apr 12, 2012 #1 Habari wakuu, leo nakumbuka siku yangu ya kuzaliwa namshukuru sana Mungu kwa kunilinda hadi siku ya leo. pia shukurani nyingi kwa wazazi wangu.
Habari wakuu, leo nakumbuka siku yangu ya kuzaliwa namshukuru sana Mungu kwa kunilinda hadi siku ya leo. pia shukurani nyingi kwa wazazi wangu.
Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,987 Reaction score 24,226 Apr 12, 2012 #2 Happy Birthday Jeji.
Jeji JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,973 Reaction score 372 Apr 12, 2012 Thread starter #3 Kongosho said: Happy Birthday Jeji. Click to expand... ahsante Kongosho.
G gwendoline mushi Member Joined Mar 16, 2012 Posts 23 Reaction score 2 Apr 12, 2012 #4 Happy birthday. Long life.
S SI unit JF-Expert Member Joined Feb 24, 2012 Posts 1,953 Reaction score 767 Apr 12, 2012 #5 Mwenyezi Mungu akupe hekima na busara uishi vizuri na kila mtu. Hiyo ndiyo furaha kuu wakati wa uhai na baada ya uhai.. HBD buddy!
Mwenyezi Mungu akupe hekima na busara uishi vizuri na kila mtu. Hiyo ndiyo furaha kuu wakati wa uhai na baada ya uhai.. HBD buddy!
BAGAH JF-Expert Member Joined Jan 17, 2012 Posts 4,523 Reaction score 1,060 Apr 12, 2012 #6 Mungu akusaidie uishi uwaone watoto wa watoto wa watoto wako...
MANI Platinum Member Joined Feb 22, 2010 Posts 7,318 Reaction score 6,394 Apr 12, 2012 #7 Mungu akupe maisha mema na marefu happy birthday Jeji !
Jeji JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,973 Reaction score 372 Apr 12, 2012 Thread starter #8 ahsanteni wakuu, pamoja sana.
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 Apr 12, 2012 #9 Hongera. . .
Jeji JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,973 Reaction score 372 Apr 12, 2012 Thread starter #10 Lizzy said: Hongera. . . Click to expand... ahsante.