Leo ni siku ya uandikishaji BVR Dodoma

Leo ni siku ya uandikishaji BVR Dodoma

KUNDULE

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
318
Reaction score
177
Nipo kituoni toka sa kumi na mbili nasubiri kujiandikisha nipate tiketi ya kuiondoa CCM.Ila tukio hilo hapa Dodoma limefanywa siri kubwa ndio maana mpaka sasa kituoni nipo peke yangu ila baada ya kujiandikisha naenda kuhamasisha. UPDATE:kwa mara nyingine tena serikali imeendelea kutufanya watu wa dodoma matahira baada ya kuhairisha zoezi hilo leo mpaka watakapotangaza tena.tutaelewana tu october
 
mkuu hakikisha kila raia anapata hii taarifa ila kwa nini ccm wanafanya siri?hongera kwa kuwahi
 
mkuu hakikisha kila raia anapata hii taarifa ila kwa nini ccm wanafanya siri?hongera kwa kuwahi
asante kamanda lazima mwaka huu kieleweke
 
Kwa stahili hii ya kufanya mambo kinyume na utaratibu ya Burundi ni sharti yatukute..!!!
Make hakuna namna...wananchi wamechoka..!!

Mnagawa majimbo kila mkijisikia.... Mnaandikisha wapiga kura kwa siri...Haramu uzaa Haramu... Wenye macho na waone...wenye masikio wasikie...wenye akili..waelewa na wawajulishe wengine...!!
 
aaaah!!! aaah!!!..kujiandikisha muhimu sana .maana wagogo mmh ni kazi.
 
nipo kituoni toka sa kumi na mbili nasubiri kujiandikisha nipate tiketi ya kuiondoa ccm.ila tukio hilo apa dodoma limefanywa siri kubwa ndio maana mpaka sasa kituoni nipo peke yangu ila baada ya kujiandikisha naenda kuhamasisha.

Mkuu hakikisha unazalisha wapiga kura wengine zaidi,kuweka siri itakuwa ni mbinu ya CCM ili watu wao waweze kujiandikisha kwa wingi zaidi.
 
Nipo kituoni toka sa kumi na mbili nasubiri kujiandikisha nipate tiketi ya kuiondoa CCM.Ila tukio hilo hapa Dodoma limefanywa siri kubwa ndio maana mpaka sasa kituoni nipo peke yangu ila baada ya kujiandikisha naenda kuhamasisha.
Huo ni unafiki mbona wengine tupo simiyu Lakini tunajua kuwa leo dodoma wanaanza kujiandikisha sasa huo usiri unatoka wapi.

Ujue ukiwa huna busara usidhani kama kunamtu atakuongezea hizo busara ratiba ipo wazi tena imetangazwa.
 
Kwa stahili hii ya kufanya mambo kinyume na utaratibu ya Burundi ni sharti yatukute..!!!
Make hakuna namna...wananchi wamechoka..!!

Mnagawa majimbo kila mkijisikia.... Mnaandikisha wapiga kura kwa siri...Haramu uzaa Haramu... Wenye macho na waone...wenye masikio wasikie...wenye akili..waelewa na wawajulishe wengine...!!
Mkuu wewe unatoka kijiji gani ambako zoezi la kujiandikisha ni siri,

kumbe ukiwa bavicha mpaka akili zinaruka?

Kwakuwa chadema mmezoea fujo hayo ya burundi kafanyianeni kwenye familia yenu.
 
Huo ni unafiki mbona wengine tupo simiyu Lakini tunajua kuwa leo dodoma wanaanza kujiandikisha sasa huo usiri unatoka wapi.

Ujue ukiwa huna busara usidhani kama kunamtu atakuongezea hizo busara ratiba ipo wazi tena imetangazwa.
acha ujinga wewe gamba mbona matangazo ya chanjo ya mabusha na tezi dume huwa wanapita mitaani kutangaza.huku dodoma mpaka sasa vituo tu vya kujiandikisha watu hawajui vilipo
 
Huko DODOMA hata wasipojiandikisha, mkoa unaoongoza kwa ombaomba lakini mmeikumbatia CCM.
 
Mkuu wewe unatoka kijiji gani ambako zoezi la kujiandikisha ni siri,

kumbe ukiwa bavicha mpaka akili zinaruka?

Kwakuwa chadema mmezoea fujo hayo ya burundi kafanyianeni kwenye familia yenu.

Tatizo lako ni elimu yako... Wengi mlioko CCM mmesomea kwenye shule za Jumuiya ya Wazazi.....ndo maana uwezo wa akili zenu unatia mashaka.... Daima mnakimbia vivuli vyenu kwa kudhani kila anayewapinga ni mwana CDM....

Hovyo sana watu kama wewe...!! Kazi kutetea matumbo yenu hata kama ukweli mnaufahamu!
 
Nipo kituoni toka sa kumi na mbili nasubiri kujiandikisha nipate tiketi ya kuiondoa CCM.Ila tukio hilo hapa Dodoma limefanywa siri kubwa ndio maana mpaka sasa kituoni nipo peke yangu ila baada ya kujiandikisha naenda kuhamasisha.

Piga panda mkuu watu wajue wakati ni sasa ukombozi upo mlangoni.
 
Nipo kituoni toka sa kumi na mbili nasubiri kujiandikisha nipate tiketi ya kuiondoa CCM.Ila tukio hilo hapa Dodoma limefanywa siri kubwa ndio maana mpaka sasa kituoni nipo peke yangu ila baada ya kujiandikisha naenda kuhamasisha.
Saafi sana mkuu, hakikisha umewapeleka watu ishirini leo na kesho pia,
 
Nipo kituoni toka sa kumi na mbili nasubiri kujiandikisha nipate tiketi ya kuiondoa CCM.Ila tukio hilo hapa Dodoma limefanywa siri kubwa ndio maana mpaka sasa kituoni nipo peke yangu ila baada ya kujiandikisha naenda kuhamasisha.
Wewe ni muongo!!

Mimi nipo hapa Dodoma sijasikia wala kuona kituo cha kujiandikisha!!Kinachofanyika ni kuendesha semina kwa watakao simamia zoezi hilo!!
 
Kwanza kwa hapo Dodoma hata wasipotangaza kuna faida upande wetu kwa sababu walioko Ccm hawana uelewa hawajitambui na hawana access ya mawasiliano kama sisi tulio fungu la wenye uelewa,mlioko huko fanyeni kazi kwa kujitolea ili watu wajiandikishe tusaidiane kumtoa ibilisi huyu jamani
 
(Huo ni unafiki mbona wengine tupo simiyu Lakini tunajua kuwa leo dodoma wanaanza kujiandikisha sasa huo usiri unatoka wapi.

Ujue ukiwa huna busara usidhani kama kunamtu atakuongezea hizo busara ratiba ipo wazi tena imetangazwa.)

Tuwekeeni basi hiyo ratiba tujue wapi niwapi Leo, kesho, keshokutwa.

Mwenye ratiba weka hapa tukasambaze
 
Narudia mwenye ratiba aweke hapa

kutwambia imetangazwa halafu hatuioni niupuuzi.
Weka hapa ratiba tujue nasisi.
 
UKAWA wakapige kambi huko wahamasishe wananchi kujiandikisha kwa wingi. Kama alivyofanya mnyika njombe.
 
Back
Top Bottom