Leo ni siku ya uandikishaji BVR Dodoma

Leo ni siku ya uandikishaji BVR Dodoma

Mbona kuna kituo kidogo cha redio kimetangaza kusitishwa kwa zoezi hilo hapo dodoma hadi pale itakapotangazwa?
 
Nipo kituoni toka sa kumi na mbili nasubiri kujiandikisha nipate tiketi ya kuiondoa CCM.Ila tukio hilo hapa Dodoma limefanywa siri kubwa ndio maana mpaka sasa kituoni nipo peke yangu ila baada ya kujiandikisha naenda kuhamasisha.
Jina lako kweli nimeamini unafanana nalo. Dodoma hawajaanza kuandikisha wapiga kura, kinachofanyika ni kutoa semina na mafunzo kwa waandikishaji biongozi, na baadae waandikishaji wasaidizi, tarehe ya kuanza kuandikisha haijatangazwa, na kwa maelezo ya wahusika ni kuanzi mwezi ujao. Acha upotoshaji. Kwanza ungejishangaa nimkwa nini uko peke yako kama mwanga, kwamba Dodoma nzima ujue wewe peke yako tu? Haya wahamasishe Kundule wenzako waje kujiandikisha. Kweli waTZ tumerogwa
 
Jina lako kweli nimeamini unafanana nalo. Dodoma hawajaanza kuandikisha wapiga kura, kinachofanyika ni kutoa semina na mafunzo kwa waandikishaji biongozi, na baadae waandikishaji wasaidizi, tarehe ya kuanza kuandikisha haijatangazwa, na kwa maelezo ya wahusika ni kuanzi mwezi ujao. Acha upotoshaji. Kwanza ungejishangaa nimkwa nini uko peke yako kama mwanga, kwamba Dodoma nzima ujue wewe peke yako tu? Haya wahamasishe Kundule wenzako waje kujiandikisha. Kweli waTZ tumerogwa
we boya nini walivyotuambia tar 15 walifikiria nini?acha kufikiri kwa kutumia tumbo
 
we boya nini walivyotuambia tar 15 walifikiria nini?acha kufikiri kwa kutumia tumbo
Mi nadhani wewe uache kufikiri kwa kutumia makalio, we hukujishangaa ulipojikuta peke yako kituoni, kama unakalia kusoma na kusikiliza magazeti na leo za udaku utaishia kusoma namba kila siku. Jitafakari, chukua hatua.:mimba:halafu unachukia nini wakati jina umechagua mwenyewe
 
Mi nadhani wewe uache kufikiri kwa kutumia makalio, we hukujishangaa ulipojikuta peke yako kituoni, kama unakalia kusoma na kusikiliza magazeti na leo za udaku utaishia kusoma namba kila siku. Jitafakari, chukua hatua.:mimba:halafu unachukia nini wakati jina umechagua mwenyewe

akili za lumumba utazijua zimebeba matope ratiba ilivyotoka walisema tar 15 mm ndo wa kwanza kufika kituoni wakaja wengine saba tulivyoona hamna kitu tumeenda kikuyu kuyadelete maccm kwa kufanya mikutano so hakuna kilichoharibika
 
Back
Top Bottom