Mkoba wa Mama
Senior Member
- May 5, 2021
- 113
- 45
Ilinichukua zaidi ya wiki moja simu yangu kupokelewa NHIF.
Leo ni siku ya tatu napiga simu NACTVET inaita tu bila kupokelewa.
Sasa kuna umuhimu gani wa hizo namba/mawasiliano ya huduma kwa wateja
Lakini pia hata ukituma barua pepe hazijibiwi kabisa.
Ninashauri waliangalie hili suala maana linaleta usumbufu na kuchelewesha watu kupata huduma za dharura.
Leo ni siku ya tatu napiga simu NACTVET inaita tu bila kupokelewa.
Sasa kuna umuhimu gani wa hizo namba/mawasiliano ya huduma kwa wateja
Lakini pia hata ukituma barua pepe hazijibiwi kabisa.
Ninashauri waliangalie hili suala maana linaleta usumbufu na kuchelewesha watu kupata huduma za dharura.