Leo ni siku ya mashujaa- Israel

Leo ni siku ya mashujaa- Israel

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,930
Reaction score
6,030
Leo Siku ya Jumanne jioni, Israeli itaadhimisha Siku ya Ukumbusho kwa askari waliokufa na wahasiriwa wa ugaidi, na ving'ora vya kitaifa saa 8:00 PM na Jumatano saa 11:00 asubuhi.
Tangu 1948, wanajeshi 24,981 na raia 4,070 wamekufa, wakiwemo 716 katika vita vinavyoendelea sasa vya "Upanga wa Chuma".

Kabla ya kuelekea Siku ya Uhuru utaadhimishwa na sherehe ya kuwasha mwenge katika Mlima Herzl, kuashiria uhusiano kati ya dhabihu na uhuru.

Licha ya mjadala unaoendelea kuhusu ukaribu wa siku hizo mbili, jamii ya Israel inaungana katika maombolezo, fahari na ukumbusho.
 

Attachments

  • IMG_2659.jpeg
    IMG_2659.jpeg
    68 KB · Views: 17
Kutoka vilindini deep deep kwenye sakafu ya moyo wangu naipenda Israel na wayahudi wote kupita maelezo na Hilo HALIPINGIKI maamae. Mungu wa kweli walinde na uwabariki milele.

HUNIAMBII KITU KUHUSU YESU NA ISRAEL.

IN JESUS WE MUST TRUST, BELIEVE AND WORSHIP.

JESUS IS GOD WHETHER YOU LIKE IT OR NOT.

Nyau de adriz
 
Leo Siku ya Jumanne jioni, Israeli itaadhimisha Siku ya Ukumbusho kwa askari waliokufa na wahasiriwa wa ugaidi, na ving'ora vya kitaifa saa 8:00 PM na Jumatano saa 11:00 asubuhi.
Tangu 1948, wanajeshi 24,981 na raia 4,070 wamekufa, wakiwemo 716 katika vita vinavyoendelea sasa vya "Upanga wa Chuma".

Kabla ya kuelekea Siku ya Uhuru utaadhimishwa na sherehe ya kuwasha mwenge katika Mlima Herzl, kuashiria uhusiano kati ya dhabihu na uhuru.

Licha ya mjadala unaoendelea kuhusu ukaribu wa siku hizo mbili, jamii ya Israel inaungana katika maombolezo, fahari na ukumbusho.
Why should we care?
 
Kutoka vilindini deep deep kwenye sakafu ya moyo wangu naipenda Israel na wayahudi wote kupita maelezo na Hilo HALIPINGIKI maamae. Mungu wa kweli walinde na uwabariki milele.

HUNIAMBII KITU KUHUSU YESU NA ISRAEL.

IN JESUS WE MUST TRUST, BELIEVE AND WORSHIP.

JESUS IS GOD WHETHER YOU LIKE IT OR NOT.

Nyau de adriz
Uumini wa namna hii ni hatari na haufai
 
Leo Siku ya Jumanne jioni, Israeli itaadhimisha Siku ya Ukumbusho kwa askari waliokufa na wahasiriwa wa ugaidi, na ving'ora vya kitaifa saa 8:00 PM na Jumatano saa 11:00 asubuhi.
Tangu 1948, wanajeshi 24,981 na raia 4,070 wamekufa, wakiwemo 716 katika vita vinavyoendelea sasa vya "Upanga wa Chuma".

Kabla ya kuelekea Siku ya Uhuru utaadhimishwa na sherehe ya kuwasha mwenge katika Mlima Herzl, kuashiria uhusiano kati ya dhabihu na uhuru.

Licha ya mjadala unaoendelea kuhusu ukaribu wa siku hizo mbili, jamii ya Israel inaungana katika maombolezo, fahari na ukumbusho.
 

Attachments

  • Screenshot_2025-04-28-14-12-28-492.jpg
    Screenshot_2025-04-28-14-12-28-492.jpg
    290.2 KB · Views: 19
Israel inapigana vita toka wale mapacha wawili walipogombana tumboni mwa mama yao na yule tapeli wa kijakazi atake kutapeli haki za urithi za mwenye kubarikiwa! Hiyo kweli nchi ya mashujaa.
 
Angalia vizuri tarehe hiyo uliyoweka kama kiambatanisho ni ya lini? Na nani alisema? Je ni tamko la serikali?? Au ni matamko ya watu waliokula Maharage ya jana kama wewe? Israel ni nchi huru unaruhusiwa kusema chochote lakini hakiwezi kuwa msimamo wa serikali na ndiyo maana hata mimi niko huku wala sibughudhiwi na mtu yeyote!!
 
Angalia vizuri tarehe hiyo uliyoweka kama kiambatanisho ni ya lini? Na nani alisema? Je ni tamko la serikali?? Au ni matamko ya watu waliokula Maharage ya jana kama wewe? Israel ni nchi huru unaruhusiwa kusema chochote lakini hakiwezi kuwa msimamo wa serikali na ndiyo maana hata mimi niko huku wala sibughudhiwi na mtu yeyote!!
Au siyo!?
 

Attachments

  • IMG_20250423_173418_475.jpg
    IMG_20250423_173418_475.jpg
    116.7 KB · Views: 14
Ile Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha,ni kujipigania mwenyewe?
Uzi unasema “Leo ni siku ya mashujaa-Israel” mungu wako mungu wako Mbona umeniacha imetoka wapi? Wafuga Midevu na Majini tumieni akili zenu vizuri!!!
 
Huko middle east sio sehemu ya kuishi


View: https://youtu.be/l1MxlNg3QcY?si=ySGlJkoVMfhDql6g

Amani inahitajika kwa pande zote --watu waweze kuishi

Wengine tupo tunaishi huku wala hakuna shida yoyote tunatembea tutakavyo. Wenye vichwa vya panzi hawakosi duniani kotę hata waliokuwa Maharage ya jana yaliyochcchc utawasikia tu wana wa waja ovyo.
Waarabu tu ndiyo tatizo tukikutana nao ni kujihadhali sana ni wezi sana na Ugaidi juu!!
 
Wengine tupo tunaishi huku wala hakuna shida yoyote tu ate bez utakavyo. Waarabu tu ndiyo tatizo tukikutana nao ni kujihadhali sana wezi na Ugaidi juu!!
kungekua hakuna shida wangehangaika na bunkers --- hapa dar es salaam umeona mwananchi gani anajenga bunker
/
 
kungekua hakuna shida wangehangaika na bunkers --- hapa dar es salaam umeona mwananchi gani anajenga bunker
/
Wewe umeona magaidi wangapi hapo Dar? Kwa miaka mitano wamerusha maroketi mangapi mjini? Kama hakuna kuna haja gani sasa kujenga hizo unazoziita wewe Bunker? Na kwa akili yako ndogo ulitaka wasichukue tahadhali? Acha ujinga Tumia akili zako vizuri!!
 
Back
Top Bottom