Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,285
Na machalari babu?Vipi kiburu hutaki?Babu kakaa tayari,
Wala hana kitu shari,
Anangojea kwa ari,
Mbene nayo machalari.
Na machalari babu?Vipi kiburu hutaki?Babu kakaa tayari,
Wala hana kitu shari,
Anangojea kwa ari,
Mbene nayo machalari.
hashy.....go and get clingy with your valentine!make that avatar come alive!
kwa alivyo na valentine wengi hiyo avatar haitatosha kwenye kiboksi cha avatar cha jf,labda akutumie slide za picha....l.o.l:laugh::laugh::laugh:
Nani kakwania mapenzi yana siku maalum
Mpende umpendae kila siku ione adhimu
Kila siku twapenda nini na wangu mahamumu
Mapenzi yetu matamu yenye mengi mashamsham
Kila siku twadumisha mapenzi yetu adimu
Sasa babu ujue mapenzi yataka nidhamu
Mapenzi hayana siku yapo tangu dawamu
Kwa alivyo na valentine wengi hiyo avatar haitatosha kwenye kiboksi cha avatar cha JF,labda akutumie slide za picha....l.o.l:laugh::laugh::laugh:
hahahahaha!bwoi..mbona atakua hoi bin taaban! Hashy eti ya kweli haya??
Babu babu!! babu! babu huyoooo!!
Babu, babu huyo, babu, babu huyo, babu huyo babuuuuu!!
Baaaaaabu huyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!
Elodiiiiiiii loves you much much babu.
c'm on ma!
Stop shutting them doors....
lizzy......
Lizzy......
Damn....! Feels good calling that name!
Chetuntu ahsante sana,
Kwa upendo wako mpana.
Najua huwezi bana,
Kigoma siyo ahera.
Siku ukijisikia,
Nauli ukipatia,
Kwa babu we kimbilia,
Hakika wapokelewa.
Hapo unaeleweka,
wala hakuna mashaka,
Kupendana bila shaka,
Ni siku zote swadakta.
Ikawekwa siku moja,
watu wawe kwa pamoja,
Wa ndoa hata waseja
Upendo kuonyeshana.
i strongly deny the accusation....
Leta hata na kiburu,
Napokea hata 'mburu'
Ila silete sururu,
Sina nguvu ya kulima.
Hashy please don't!!I wanna hear you calling my dearest Elle coz she is your Valentine!
Yaani sis sijui what was i thinking nilipokuwa naandika anyway its just a spelling mistake i meant MKWE leo sijui nina matatizo ganiDuh,kaka yangu,mbona hivi? yaani hiyo ndo tricky yako....l.o.l
haya ngoja mi nitandike kitanda.....l.o.l:laugh::laugh:
Mwngine huyu.......wanazidi kupungua tu. Sijui kama ntapata ugoro leo LOLZ!
I'mma choose to believe you!She better be wrong though.....i strongly deny the accusation....