Leo ni mechi kati ya man u vs fulham

MULANGILA

Member
Mar 20, 2012
20
3
Habari wana JF, jioni ya leo kutakuwa na Mechi kati ya Man U ikipambana na timu ya Mwarabu,Fulham. Wana Man u tuiombee timu yetu ili tuzidi kuiacha Man City........NAWASILISHA
 
6853713976_d860900e66.jpg
 
Back
Top Bottom