Leo ni kumbukumbu ya September 11

Leo ni kumbukumbu ya September 11

nashukuru ila wamarekani katili sana hawa watu.
Kweli kabisa. .....alafu inajifanya watetea haki. ...ninaamini hakuna binadamu anayeweza kushindana na Mwenye Enzi Mungu. .mtu huvuna alilolipanda milele hiyo ndiyo haki na kweli milele
 
Marikanyo marikanyozao... pumbaff OAZ, alaf nauliza! Je bush bado hai? Yule ni mpumbavu kabisa, tena yeye ndiye wangemdedisha wakwanza,
 
unafikiri wangeingiaje afghanistan ambapo walikuwa wanagombea kuchimba gas na kampuni ya argentina ilyokua inaelekea kuwashinda?!..wataleban walikataa mkataba wao wa kinyonyaji
Nimeelewa mkuu ahsante kwa maelezo mazuri
 
Osama hajauawa wewe...endelea kushikwa masikio
mkuu unaweza kunipa evidence yoyote kuwa osama yupo hai?
kama marekani walitoa evidence kuwa wamemuua osama,je unaweza kunipa evidence kuwa osama yupo hai?
 
mkuu unaweza kunipa evidence yoyote kuwa osama yupo hai?
kama marekani walitoa evidence kuwa wamemuua osama,je unaweza kunipa evidence kuwa osama yupo hai?
hakuna evidence yoyote inayothibitisha pasipo shaka kuwa Osama aliuawa

hakuna mtu yeyote mwingine zaidi ya hao waongo US govt walioshuhudia mwili wa osama

osama was never killed but the world was made to believe Osama is dead
 
kwani osama amefichwa wapi? au yupo wapi?
Au kuna mtandao wowote ulimuonesha osama akiongea kuwa yupo hai?

Kujua yu wap ama kafichwa wap mimi nawe sote hatujui,
Labda na wewe nikuulize tu kidogo!,

je kuna mtandao gani umeonesha mwili wake kama ni yeye aliekufa? Na Je kabla ya kumzika ama kumtupa baharini pia walituonyesha live hiyo maiti yake?
 
Wengine plan ni ya Osama mbabe wengine sio Osama ni marekani wenyewe asa lipi kweli.
 
Sawa mkuu.
Kwa uchafuzi wa uzi, sababu ni kwamba yawezekana hata mleta uzi alikua anazijua link, lakini kwakua anatambua matumizi ya Nokia zetu za torch ndipo akaamua kutufanyia uungwana.
Alafu......
Hata hiyo lugha ya kufungulia hizo link, zilikuja na majahazi hata kufikia kutufanyia ukakasi sisi wa huku ushirombo.
hahahhhhaaaaa, Sawa bwana.
 
Duh hata watz tunaenzi hiyo siku, aise hatari.na ajali zilizotokea hapa za MV Bukoba,Spice ailanders nk wanaenzi huko marekani?
 
Nakumbuka vizuri siku hii, nilikuwa form 6, nashushwa garini fast naiwahi M-net wameweka CCN nakuta neno live WTC
 
Hapa ndipo ninapomkumbuka mwanaume wa shoka Osama.
Mwenye picha yake aniwekee jamani,hasa ile maarufu aliyonyoosha kidole cha shahada juu.
 
Hapa ndipo ninapomkumbuka mwanaume wa shoka Osama.
Mwenye picha yake aniwekee jamani,hasa ile maarufu aliyonyoosha kidole cha shahada juu.

Ukhti Nifah hizo.
Osama-bin-Laden-Getty.jpg
1989-Osama-Bin-Laden-walk-004.jpg
Osama-bin-Laden-dood.jpg
 
Back
Top Bottom