Leo ni kumbukumbu ya September 11

Leo ni kumbukumbu ya September 11

1473625815847.jpg
 
Nakumbuka nilikuwa marekani, Maryland, upper Marlboro. ..ilisikitisha walahi. .RIP waliopoteza maisha. ..totally sad
 
  • Thanks
Reactions: kui
Nakumbuka nilikuwa marekani, Maryland, upper Marlboro. ..ilisikitisha walahi. .RIP waliopoteza maisha. ..totally sad
mie nafrahi mno hahhaha tih tih tih wamarekani wanajikuta wababe sana.
but pole sana kwa ndugu zetu hapa bongo inauma ila hao wamarekani acha wafe tena wote na taifa lao liteketee kwani wameharibu sana nchi ndogo.
natumai osama mwingine mimi ntazaliwa
 
Kama hii ni kweli ina maana walipanga pia mashambuluzi ya balozi zao in '98, ambapo kuna Watanzania wenzetu na Wakenya walipoteza maisha? cos inaonyesha kuwa kwenye mlengo mmoja...maajabu haya.



 
mie nafrahi mno hahhaha tih tih tih wamarekani wanajikuta wababe sana.
but pole sana kwa ndugu zetu hapa bongo inauma ila hao wamarekani acha wafe tena wote na taifa lao liteketee kwani wameharibu sana nchi ndogo.
natumai osama mwingine mimi ntazaliwa

😛 nilitamani sana pentagon ipigwe,tena akiwemo na raisi wao yule mpumbavu
 
mie nafrahi mno hahhaha tih tih tih wamarekani wanajikuta wababe sana.
but pole sana kwa ndugu zetu hapa bongo inauma ila hao wamarekani acha wafe tena wote na taifa lao liteketee kwani wameharibu sana nchi ndogo.
natumai osama mwingine mimi ntazaliwa
Mimi pia siwapendi lakini NATHAMINI UTU. ...UHAI WA BINADAMU NI UTUKUFU WA MWENYE ENZI MUNGU. ...mwogope MAULANA MOLA wetu. ...nakutakia IDD MUBARAK my friend
 
Mimi pia siwapendi lakini NATHAMINI UTU. ...UHAI WA BINADAMU NI UTUKUFU WA MWENYE ENZI MUNGU. ...mwogope MAULANA MOLA wetu. ...nakutakia IDD MUBARAK my friend
nashukuru ila wamarekani katili sana hawa watu.
 
Kuna ambao wanalipenda sana hapa bongo,na wamo humu jf wanatucheki tu,na ndio haohao wanatumia vyandarua vya "msaada wa marekani"
uelewa wao mdogo wala usiwalaumu maana hawajui watendalo. ila kama kuna anejuwa wamarekani vizuri sidhani kaama atafungua kinywa chake na kusema anawapenda.
 
Conspirancy
Acha kujidanganya wewe, au kisa umeskia WTC ilijengwa vya vyuma kana kwamba haitapata mashambulio wala tatizo lolote?
amka ndugu wewe hujajua silaha za nyuklia zilivyo, pia imi mwenyewe sijajua walitumia silaha ganiu kuteketeza jengo la hao wapuuzi.
Ni dhahiri osama alikua CIA wao hivyo alijua namna ya kuwaadhibu. big up to that man
 
Ndio nini sasa hiki...[emoji57]
Kama una haja ya kutuwekea maelezo kwanini usiweke?
Ninyi ndio mnao chafua thread za watu humu...[emoji16] [emoji16]
Pole nilisahau kuwa unatumia nokia tochi na huwezi kufuata link, nisamehe sana kwa hili, siku nyingine nitajirekesha, Alafu umejuaje kuwa nimechafua thread wakati wala hujasoma link?
 
Nakumbuka nilikuwa marekani, Maryland, upper Marlboro. ..ilisikitisha walahi. .RIP waliopoteza maisha. ..totally sad
tena wakichapwa tena itakuwa powa sana...wameua . watu wengi innocent
 
Pole nilisahau kuwa unatumia nokia tochi na huwezi kufuata link, nisamehe sana kwa hili, siku nyingine nitajirekesha, Alafu umejuaje kuwa nimechafua thread wakati wala hujasoma link?
Sawa mkuu.
Kwa uchafuzi wa uzi, sababu ni kwamba yawezekana hata mleta uzi alikua anazijua link, lakini kwakua anatambua matumizi ya Nokia zetu za torch ndipo akaamua kutufanyia uungwana.
Alafu......
Hata hiyo lugha ya kufungulia hizo link, zilikuja na majahazi hata kufikia kutufanyia ukakasi sisi wa huku ushirombo.
 
Back
Top Bottom