GE2025 Leo ndio uchaguzi mkuu wa Wabunge Tanzania

GE2025 Leo ndio uchaguzi mkuu wa Wabunge Tanzania

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Nkobe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
2,227
Reaction score
3,330
Oktoba ni danganya toto, leo ndio Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa watapatikana. Mchakato ulianza kwa Muhimili mmoja wa Serikali (Samia, Mpango na wenzie) kupitisha majina wanayotaka wao ili kuunda muhimili wa pili wa serikali. Iko wazi kuwa sasa Watanzania hawana tena haki ya kuchagua kiongozi wamtakae
 
October ni danganya toto, leo ndio Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa watapatikana. Mchakato ulianza kwa Muhimili mmoja wa Serikali (Samia, Mpango na wenzie) kupitisha majina wanayotaka wao ili kuunda muhimili wa pili wa serikali. Iko wazi kuwa sasa Watanzania hawana tena haki ya kuchagua kiongozi wamtakae
Halafu ACT wanatudanganya eti watalinda kura wakati 2020 ndo waliokua wanalia kuibiwa
 
Oktoba kutakuwa na voter turn out ndogo kuwahi kutokea kwenye nchi hii...yote haya anayoyafanya eti ataandika kitabu akitubu asamehewe akistaafu.
Tumelaaniwa haki.
 
Back
Top Bottom