Leo ndio nimethibitisha tabia ya CCM

Leo ndio nimethibitisha tabia ya CCM

Mkapa aliwaita malofa na mapumbavu. Ndio wamevaa. Huwezi kumzuia mtu uhuru wake na wewe vaa hata chupi yenye kinyesi kama ya mgombea wenu.

Hiyo chupi ni wewe uliifua ukakuta hicho kinyesi?
 
Kwahiyo hata taasisi zingine wasivae? Mf. Wanajeshi, wanafunzi n.k. Ni mtazamo wako ila mimi sioni kosa.

anaongelea kuleta mambo ya chama kwenye mambo ya kitaifa huelewi nini?
 
Rais Magufuli alitoa agizo kuwa 9/12/2015 itakuwa ni siku ya usafi nchi nzima badala ya kuwa siku ya uhuru ili kuokoa mabilioni ya pesa za walalahoi yanayotumika kwa anasa kila mwaka!

Kampeni zimeisha,rais kapatikana,Sasa inakuwaje wana CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa usafi wa kitaifa usiohusisha vyama vya kisiasa? Rais alitoa agizo kwa wana CCM tu au kwa watanzania wote? Ni tafsiri gani hiyo?

Vipi kama NCCR,CUF,na CHADEMA nao wakivaa sare zao na kisha kuingia mitaani na kujichanganya na wana CCM je?! Hali itakuwa shwari kweli? Hapo usafi utafanyika kweli au vitaanza vijembe vya kisiasa na hatimae ugomvi? au Hawa wana CCM tuliowaona ktk taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu wametengewa maeneo yao maalumu ya usafi? Au usafi huu ni wa makada wa chama cha CCM pekee?

Ulimbukeni huu na ushari huu umethibitisha pasi na shaka kuwa ccm ni wapumbavu,upumbavu siyo tusi bali ni sifa (adjective) mpumbavu ni mtu asiye na hekima,hata ktk Biblia imeandikwa kuwa mpumbavu kasema hakuna Mungu,Mithali.
Kwa nini wanaccm wasitembee kifua mbele baada ya kumtoa panya kwenye kibuyu??

Mbona kwenye misiba mnavaa magwanda hatusemi.
 
Rais Magufuli alitoa agizo kuwa 9/12/2015 itakuwa ni siku ya usafi nchi nzima badala ya kuwa siku ya uhuru ili kuokoa mabilioni ya pesa za walalahoi yanayotumika kwa anasa kila mwaka!

Kampeni zimeisha,rais kapatikana,Sasa inakuwaje wana CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa usafi wa kitaifa usiohusisha vyama vya kisiasa? Rais alitoa agizo kwa wana CCM tu au kwa watanzania wote? Ni tafsiri gani hiyo?

Vipi kama NCCR,CUF,na CHADEMA nao wakivaa sare zao na kisha kuingia mitaani na kujichanganya na wana CCM je?! Hali itakuwa shwari kweli? Hapo usafi utafanyika kweli au vitaanza vijembe vya kisiasa na hatimae ugomvi? au Hawa wana CCM tuliowaona ktk taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu wametengewa maeneo yao maalumu ya usafi? Au usafi huu ni wa makada wa chama cha CCM pekee?

Ulimbukeni huu na ushari huu umethibitisha pasi na shaka kuwa ccm ni wapumbavu,upumbavu siyo tusi bali ni sifa (adjective) mpumbavu ni mtu asiye na hekima,hata ktk Biblia imeandikwa kuwa mpumbavu kasema hakuna Mungu,Mithali.
Sasa hapo wanasafisha au wanachafua....???
attachment.php
 
Rais Magufuli alitoa agizo kuwa 9/12/2015 itakuwa ni siku ya usafi nchi nzima badala ya kuwa siku ya uhuru ili kuokoa mabilioni ya pesa za walalahoi yanayotumika kwa anasa kila mwaka!

Kampeni zimeisha,rais kapatikana,Sasa inakuwaje wana CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa usafi wa kitaifa usiohusisha vyama vya kisiasa? Rais alitoa agizo kwa wana CCM tu au kwa watanzania wote? Ni tafsiri gani hiyo?

Vipi kama NCCR,CUF,na CHADEMA nao wakivaa sare zao na kisha kuingia mitaani na kujichanganya na wana CCM je?! Hali itakuwa shwari kweli? Hapo usafi utafanyika kweli au vitaanza vijembe vya kisiasa na hatimae ugomvi? au Hawa wana CCM tuliowaona ktk taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu wametengewa maeneo yao maalumu ya usafi? Au usafi huu ni wa makada wa chama cha CCM pekee?

Ulimbukeni huu na ushari huu umethibitisha pasi na shaka kuwa ccm ni wapumbavu,upumbavu siyo tusi bali ni sifa (adjective) mpumbavu ni mtu asiye na hekima,hata ktk Biblia imeandikwa kuwa mpumbavu kasema hakuna Mungu,Mithali.

Umenena mkuu
 
Wewe ulikuwa huwajui.Wengi wao IQ ndogo.
Rais Magufuli alitoa agizo kuwa 9/12/2015 itakuwa ni siku ya usafi nchi nzima badala ya kuwa siku ya uhuru ili kuokoa mabilioni ya pesa za walalahoi yanayotumika kwa anasa kila mwaka!

Kampeni zimeisha,rais kapatikana,Sasa inakuwaje wana CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa usafi wa kitaifa usiohusisha vyama vya kisiasa? Rais alitoa agizo kwa wana CCM tu au kwa watanzania wote? Ni tafsiri gani hiyo?

Vipi kama NCCR,CUF,na CHADEMA nao wakivaa sare zao na kisha kuingia mitaani na kujichanganya na wana CCM je?! Hali itakuwa shwari kweli? Hapo usafi utafanyika kweli au vitaanza vijembe vya kisiasa na hatimae ugomvi? au Hawa wana CCM tuliowaona ktk taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu wametengewa maeneo yao maalumu ya usafi? Au usafi huu ni wa makada wa chama cha CCM pekee?

Ulimbukeni huu na ushari huu umethibitisha pasi na shaka kuwa ccm ni wapumbavu,upumbavu siyo tusi bali ni sifa (adjective) mpumbavu ni mtu asiye na hekima,hata ktk Biblia imeandikwa kuwa mpumbavu kasema hakuna Mungu,Mithali.
 
Wazo langu naona kama una kajipu uchungu kana kuwasha. Eee sore kana kuuma subiri doctori akitie disprini katapoa mkuu vumilia.
 
Ulimbukeni ni sera ya CCM. Hawajui ni lini wavae marangi yao ya kijani. Hata rais akiwa anatembelea mahali utawaona na marangi yao hayo. Hawawezi kutofautisha serikali na chama.

Hata wagombea wa CDM huwa wanavaa "MAGWANDA" kwene shughuli za kujenga taifa..nao ni ulimbukeni?
 
Kwahiyo hata taasisi zingine wasivae? Mf. Wanajeshi, wanafunzi n.k. Ni mtazamo wako ila mimi sioni kosa.

Hivi wewe umeingiaje huku?uniform za polisi au wanajeshi zina faida kwa wananchi kuliko za ccm au chama chochote kile
 
Back
Top Bottom