Mkapa aliwaita malofa na mapumbavu. Ndio wamevaa. Huwezi kumzuia mtu uhuru wake na wewe vaa hata chupi yenye kinyesi kama ya mgombea wenu.
Hiyo chupi ni wewe uliifua ukakuta hicho kinyesi?
Mkapa aliwaita malofa na mapumbavu. Ndio wamevaa. Huwezi kumzuia mtu uhuru wake na wewe vaa hata chupi yenye kinyesi kama ya mgombea wenu.
Kwahiyo hata taasisi zingine wasivae? Mf. Wanajeshi, wanafunzi n.k. Ni mtazamo wako ila mimi sioni kosa.
Kwa nini wanaccm wasitembee kifua mbele baada ya kumtoa panya kwenye kibuyu??Rais Magufuli alitoa agizo kuwa 9/12/2015 itakuwa ni siku ya usafi nchi nzima badala ya kuwa siku ya uhuru ili kuokoa mabilioni ya pesa za walalahoi yanayotumika kwa anasa kila mwaka!
Kampeni zimeisha,rais kapatikana,Sasa inakuwaje wana CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa usafi wa kitaifa usiohusisha vyama vya kisiasa? Rais alitoa agizo kwa wana CCM tu au kwa watanzania wote? Ni tafsiri gani hiyo?
Vipi kama NCCR,CUF,na CHADEMA nao wakivaa sare zao na kisha kuingia mitaani na kujichanganya na wana CCM je?! Hali itakuwa shwari kweli? Hapo usafi utafanyika kweli au vitaanza vijembe vya kisiasa na hatimae ugomvi? au Hawa wana CCM tuliowaona ktk taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu wametengewa maeneo yao maalumu ya usafi? Au usafi huu ni wa makada wa chama cha CCM pekee?
Ulimbukeni huu na ushari huu umethibitisha pasi na shaka kuwa ccm ni wapumbavu,upumbavu siyo tusi bali ni sifa (adjective) mpumbavu ni mtu asiye na hekima,hata ktk Biblia imeandikwa kuwa mpumbavu kasema hakuna Mungu,Mithali.
Sasa hapo wanasafisha au wanachafua....???Rais Magufuli alitoa agizo kuwa 9/12/2015 itakuwa ni siku ya usafi nchi nzima badala ya kuwa siku ya uhuru ili kuokoa mabilioni ya pesa za walalahoi yanayotumika kwa anasa kila mwaka!
Kampeni zimeisha,rais kapatikana,Sasa inakuwaje wana CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa usafi wa kitaifa usiohusisha vyama vya kisiasa? Rais alitoa agizo kwa wana CCM tu au kwa watanzania wote? Ni tafsiri gani hiyo?
Vipi kama NCCR,CUF,na CHADEMA nao wakivaa sare zao na kisha kuingia mitaani na kujichanganya na wana CCM je?! Hali itakuwa shwari kweli? Hapo usafi utafanyika kweli au vitaanza vijembe vya kisiasa na hatimae ugomvi? au Hawa wana CCM tuliowaona ktk taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu wametengewa maeneo yao maalumu ya usafi? Au usafi huu ni wa makada wa chama cha CCM pekee?
Ulimbukeni huu na ushari huu umethibitisha pasi na shaka kuwa ccm ni wapumbavu,upumbavu siyo tusi bali ni sifa (adjective) mpumbavu ni mtu asiye na hekima,hata ktk Biblia imeandikwa kuwa mpumbavu kasema hakuna Mungu,Mithali.
Kwahiyo hata taasisi zingine wasivae? Mf. Wanajeshi, wanafunzi n.k. Ni mtazamo wako ila mimi sioni kosa.
Rais Magufuli alitoa agizo kuwa 9/12/2015 itakuwa ni siku ya usafi nchi nzima badala ya kuwa siku ya uhuru ili kuokoa mabilioni ya pesa za walalahoi yanayotumika kwa anasa kila mwaka!
Kampeni zimeisha,rais kapatikana,Sasa inakuwaje wana CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa usafi wa kitaifa usiohusisha vyama vya kisiasa? Rais alitoa agizo kwa wana CCM tu au kwa watanzania wote? Ni tafsiri gani hiyo?
Vipi kama NCCR,CUF,na CHADEMA nao wakivaa sare zao na kisha kuingia mitaani na kujichanganya na wana CCM je?! Hali itakuwa shwari kweli? Hapo usafi utafanyika kweli au vitaanza vijembe vya kisiasa na hatimae ugomvi? au Hawa wana CCM tuliowaona ktk taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu wametengewa maeneo yao maalumu ya usafi? Au usafi huu ni wa makada wa chama cha CCM pekee?
Ulimbukeni huu na ushari huu umethibitisha pasi na shaka kuwa ccm ni wapumbavu,upumbavu siyo tusi bali ni sifa (adjective) mpumbavu ni mtu asiye na hekima,hata ktk Biblia imeandikwa kuwa mpumbavu kasema hakuna Mungu,Mithali.
Rais Magufuli alitoa agizo kuwa 9/12/2015 itakuwa ni siku ya usafi nchi nzima badala ya kuwa siku ya uhuru ili kuokoa mabilioni ya pesa za walalahoi yanayotumika kwa anasa kila mwaka!
Kampeni zimeisha,rais kapatikana,Sasa inakuwaje wana CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa usafi wa kitaifa usiohusisha vyama vya kisiasa? Rais alitoa agizo kwa wana CCM tu au kwa watanzania wote? Ni tafsiri gani hiyo?
Vipi kama NCCR,CUF,na CHADEMA nao wakivaa sare zao na kisha kuingia mitaani na kujichanganya na wana CCM je?! Hali itakuwa shwari kweli? Hapo usafi utafanyika kweli au vitaanza vijembe vya kisiasa na hatimae ugomvi? au Hawa wana CCM tuliowaona ktk taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu wametengewa maeneo yao maalumu ya usafi? Au usafi huu ni wa makada wa chama cha CCM pekee?
Ulimbukeni huu na ushari huu umethibitisha pasi na shaka kuwa ccm ni wapumbavu,upumbavu siyo tusi bali ni sifa (adjective) mpumbavu ni mtu asiye na hekima,hata ktk Biblia imeandikwa kuwa mpumbavu kasema hakuna Mungu,Mithali.
Ulimbukeni ni sera ya CCM. Hawajui ni lini wavae marangi yao ya kijani. Hata rais akiwa anatembelea mahali utawaona na marangi yao hayo. Hawawezi kutofautisha serikali na chama.
Kwahiyo hata taasisi zingine wasivae? Mf. Wanajeshi, wanafunzi n.k. Ni mtazamo wako ila mimi sioni kosa.