wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
Ccm ni mapumbavu na upumbavu ndiyo nyumbani kwao.
nafikiri wewe ndio mpumbavu hizi sherehe si za ccm ni za serikali
Ccm ni mapumbavu na upumbavu ndiyo nyumbani kwao.
Wana CCM kwa sasa hawajielewi.. hawana UHAKIKA kama weshajinyea au kujikojolea..
Jenga hoja,kwanini mnavaa sare na kampeni zimeisha? Na wewe ni mpumbavu pia.
Mimi nadhani hii sikukuu imefutwa mwaka huu tu ili kumwokoa Raisi Shein ,maana angepata aibu kubwa sana kuliko aliyopata Dodoma kama angeonekana uwanjani...
Rais magufuli alitoa agizo kuwa 9/12/2015 itakuwa ni siku ya usafi nchi nzima badala ya kuwa siku ya uhuru ili kuokoa mabilioni ya pesa za walalahoi yanayotumika kwa anasa kila mwaka!
Ulimbukeni huu na ushari huu umethibitisha pasi na shaka kuwa ccm ni wapumbavu,upumbavu siyo tusi bali ni sifa (adjective) mpumbavu ni mtu asiye na hekima,hata ktk Biblia imeandikwa kuwa mpumbavu kasema hakuna Mungu,Mithali.
serikali haina sarenafikiri wewe ndio mpumbavu hizi sherehe si za ccm ni za serikali
serikali haina sare
Ccm ni mapumbavu na upumbavu ndiyo nyumbani kwao.
Ccm ni mapumbavu na upumbavu ndiyo nyumbani kwao.
Mkuu kifupi ni kwamba hunaakili kabisa ngoja nisiseme mengi we kiazi kweli.
Upumbavu wa Ccm umewazidi ujanja wa Ukawa
Rais Magufuli alitoa agizo kuwa 9/12/2015 itakuwa ni siku ya usafi nchi nzima badala ya kuwa siku ya uhuru ili kuokoa mabilioni ya pesa za walalahoi yanayotumika kwa anasa kila mwaka!
Kampeni zimeisha,rais kapatikana,Sasa inakuwaje wana CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa usafi wa kitaifa usiohusisha vyama vya kisiasa? Rais alitoa agizo kwa wana CCM tu au kwa watanzania wote? Ni tafsiri gani hiyo?
Vipi kama NCCR,CUF,na CHADEMA nao wakivaa sare zao na kisha kuingia mitaani na kujichanganya na wana CCM je?! Hali itakuwa shwari kweli? Hapo usafi utafanyika kweli au vitaanza vijembe vya kisiasa na hatimae ugomvi? au Hawa wana CCM tuliowaona ktk taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu wametengewa maeneo yao maalumu ya usafi? Au usafi huu ni wa makada wa chama cha CCM pekee?
Ulimbukeni huu na ushari huu umethibitisha pasi na shaka kuwa ccm ni wapumbavu,upumbavu siyo tusi bali ni sifa (adjective) mpumbavu ni mtu asiye na hekima,hata ktk Biblia imeandikwa kuwa mpumbavu kasema hakuna Mungu,Mithali.