Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,924
- 6,010
Kiukweli tbc wamefanya kazi kubwa kutungansha na kombe la dunia, ila nitaenda likzo ya kutzama mpaka 2018.
Kumbe Baniani mbaya hila kiatu chake kinachonuka ni dawa? Acha unafiki kijana!
Kiukweli tbc wamefanya kazi kubwa kutungansha na kombe la dunia, ila nitaenda likzo ya kutzama mpaka 2018.
sishabikii vurugu but huwa sisapoti wezi mimi.mmetuibia kwenye madini tukasema sawa,sasa hivi mmengilia mafuta na gesi.ndo unataka nisapoti huo upuuzi?
Napita jamani
Nenda tu mkuu, mimi wala si muumini wa wanaoponda vya kwao. Ningekuelewa km unge critisize tbc kwa kutwambia wanakukera nini na namna ya kurekebisha. Tbc na wakuu wao na hata watendaji wa nje wenye nguvu wanaoweza kukiadabisha kituo hicho wamo ndani ya jf. Ningefurahi tungeendelea kupigana popote ili tujenge chombo cha kitaifa hata km itatugharimu. Kinachonikera ni ushabiki wa vitu vya nje na kuponda vya nchi hii ambako tumezaliwa, tumekulia na tutazikwa. Sitaki na wala sintotaka kubadili jiwe kuwa mkate!
mi na watch kombe la dunia kupitia UBC ya uganda,tbc ni chaneli ambayo hata mtoto mdogo home kwangu hawezi kuitazama
Ifike wakati watz mpende nchi yenu mbona wageni wanaipenda sana Tz
Hilo huwa naangalia mechi chache sana!What about Copa America 2016?
tv ya chama haiwzikubadiliak.hebu angalia kipindi kilichopo hewani uone kama kina tija kwa taifa hili.rasilimali na muda wa watz unavyotumika.ndo unasema nishabikie huu upuuzi?
Fungua UBC au yoyote hata ya Burundi ila acha kuushawishi umma kana kwamba unatafuta ubunge! Mi sitaki kusikia mambo ya chama kwa kuwa hata sioni chama halisi. Afu mi nakushauri, uanzishe tv ya kwako ili tuone ukiweka hayo masuala unayoita ya rasilimali. Mi naangalia kwny tv yoyote ili mradi ikidhi ninachohitaji ktk muda huo. Na wala si mfuasi wa mob psychology aina ya bendera ifuatayo upepo! Kamwe kwangu tz ilikuwepo, ipo na itakuwepo sana tu!