Kwanza mwenyezi mungu apewe sifa na utukufu kutulinda na kutufikisha leo, mshukuruni kwa kuwapa uvumilivu kwa mda wote huo,
Ndoa na iheshimiwe na watu wote! Nawatakieni maisha mema yenye baraka,furaha na heshima ili muwe familia yenye kumtukuza mungu mda wote.
Mwenyezi mungu awatangulie