Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Bundi hlii...labda akitaka kuliwa na eagle. Learn baby....or come this wayDuh! Mkeo anajua sana kubembeleza ndoa. I hope na chumbani yuko vizuri...
I hope ana maufundi ya kukuliza kama bundi
Bundi hlii...labda akitaka kuliwa na eagle. Learn baby....or come this wayDuh! Mkeo anajua sana kubembeleza ndoa. I hope na chumbani yuko vizuri...
I hope ana maufundi ya kukuliza kama bundi
Wewe!kulia kama bundi mchezo!kilio siyo cha nchi hii !ulivyoitika sasa hongera
Nashangaa hata mieKuku na gout wapi na wapi
Tuache sisi tuleleqe in our late 40s bana....daaadewkwii
mie najitoshereza kwa kila idara mkuu nashukuru sana usihofu, sema nikupe mwaliko siku mojaMkuu vipi!? Unakaa mitaani nikutumie msosi mtamu
Mtoto wa nje ya ndoaGuys mayai mm napita nayo mbali sana. Maana kabla sijaoa nlikuwa nakula mayai tu. Nlikuwa ndo nimeanza tu kazi miaka ya 2008, mshahara nliuona mkubwa tu kama laki5.5 hivi and nlikuwa peke yangu, na room yangu moja tu ambayo ilikuwa ndani ya nyumba na nliishi na mwenye nyumba humo humo. Inshort alinichukulia kama mtoto wake. But target yake kumbe nioe mtoto wake. Nlivyooa tu nikapewa nitisi. Asubuhi. Nachemsha maji ya kuoga naweka mayai 2 owenye birika la kuchemshia maji. Nikiwa naoga yanabaki kwenye sahani yanapoa. Nikila naondoka zangu job. Saa nne na nusu vitumbua 3 yai moja na chai nzito ya maziwa, mchana wali ama ugali ,mboga ni mayai2 na youghurt maziwa, usiku wali ama ugali na mboga ni mayai ama nyama. Haya ndo yakawa maisha yangu for 3 yrs kabla sijaanza kuishi na mpenzi wangu, maana nlimpa mimba 2006 tukiwa chuo. Na baadae 2013 kufunga ndoa. Outcome nliota maziwa yakawa makubwa kama ya baunsa, uuuwi nikaambiwa sababu ya mayai, but nlikuwa nakula ya kienyeji, pia nikanenepa sana na mwili ukawa na cholestrol nyingi.nikachukia mayai totally huwa nayala marachache sana
Hovyo tu wengi waokweli mkuu usemalo
siku hizi wanawake wa hivyo mkuu wa kumulika na tochi,wanaojua hata jiko likoje,wengi ni wa baby nataka take away,mikono inajua kupangusa simu tuu aingie mtandaoniwakati hata nyumbani unaweza kaanga kuku wako supu mambo muluwaaa kabisa
ulisha pata dinner?Wewe!kulia kama bundi mchezo!kilio siyo cha nchi hii !
asilimia kubwa ni fakeHovyo tu wengi wao
Unganisha hapo "maziwa yakawa makubwa" na "uwiiiii"Mkuu umetumia neno UUWII hapo au nimesoma vibaya??
kwani ni vibayaMkuu umetumia neno UUWII hapo au nimesoma vibaya??
chakushangaza wakisha waoa ndiyo wanaanza kulia lia mke wangu hajui kupikasiku hizi wanawake wa hivyo mkuu wa kumulika na tochi,wanaojua hata jiko likoje,wengi ni wa baby nataka take away,mikono inajua kupangusa simu tuu aingie mtandaoni
nimesoma mwanzo nikaduwa kumbe umeiona , fake kibaoasilimia kubwa ni fake
Hapana nashukuru pia, kama unasifia hiki kilichopostiwa hapa basi huna tofauti naemie najitoshereza kwa kila idara mkuu nashukuru sana usihofu, sema nikupe mwaliko siku moja
Tayari mkuu,chukuchuku ya ndizi bukoba na sato.ulisha pata dinner?
Sio kusifia kinachotakiwa hapo ni kurekebisha tu si kuzodolewa kana kwamba hajui, laa njoo ufundishwe kupika hatuongei maneno tupu hapaHapana nashukuru pia, kama unasifia hiki kilichopostiwa hapa basi huna tofauti nae
Hongera sana hapo mwake samaki maji baridi ila maji chumvi mmm shombo hiloTayari mkuu,chukuchuku ya ndizi bukoba na sato.
Nifundishwe tena??Sio kusifia kinachotakiwa hapo ni kurekebisha tu si kuzodolewa kana kwamba hajui, laa njoo ufundishwe kupika hatuongei maneno tupu hapa
chakushangaza wakisha waoa ndiyo wanaanza kulia lia mke wangu hajui kupika
House girl ndio anakuja kubeba msala wote wa kupikachakushangaza wakisha waoa ndiyo wanaanza kulia lia mke wangu hajui kupika