Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,246
- 88,166
Naona alitaka kupika roast ya biriani akafailSawa nimekuelewa! Kila mtu anakipenda anachokipenda! Ila sidhani kama kuna mtu anapenda msosi mbaya!
Hapo wifi apunguze mafuta na ajifunze kupika pia ila kakaetu azidi kunogewa!