sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Wahenga walishawahi kunena;
"If you don't know history, then you don't know anything. You are a leaf that doesn't know it is part of a tree."
Wanamsimbazi wenzangu, hebu tukumbushane baaadhi ya kumbukumbu mujarabu, ili tusiwe kama jani walilokua wanalizungumzia wahenga.
LiGI KUU.
1. Miaka 39, Siku 15 zilizopita [July 19, 1977]!!
Simba S.C v Yanga S.C 6-0
WAFUNGAJI:
SIMBA; Abdallah King Kibadeni Mputa dk. 10, 42 na 89 [hii rekodi yake haijavunjwa mpaka sasa], Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73.
YANGA; Selemani Sanga alijifunga dk. 20.
2. Miaka 22, Siku 31 zilizopita [July 2, 1994]!!
Simba S.C v Yanga S.C 4-1
WAFUNGAJI:
SIMBA: George Magere Masatu, Athumani China, Madaraka Selemani "Mzee wa Kiminyio" na Dua Saidi.
YANGA; Constantine Kimanda.
3. Miaka 4, Siku 84 tu zilizopita [May 6, 2012]
Simba S.C v Yanga S.C 5-0
WAFUNGAJI:
SIMBA: Emmanuel Anorld Okwi dk 1 na 52, Felix Sunzu dk 47, Juma Kaseja dk 66 na Patrick Mutesa Mafisango dk 73.
BONUS: KOMBE LA TUSKER.
Miaka 12, Siku 125 zilizopita [March 31, 2002]!!
Simba S.C Vs Yanga S.C 4-1
WAFUNGAJI:
SIMBA: Mark Sirengo dk. 3 na 76, Madaraka Selemani dk. 32 na Emanuel Gabriel dk. 83.
YANGA: Sekilojo Chambua dk 16.
NB: Katika mechi hii, Mtani nusura aweke mpira kwapani na hii ni baada ya Madaraka Selemani "Mzee wa Kiminyio" kupachika goli maridadi kabisa kuwahi kushuhudiwa katika Uwanja wa Uhuru, na hii ilikua ni dk. ya 32.
Japo katika miaka 4 iliyopita, Mnyama katetereka kweli kweli.. ila Historia haioneshi kama alishawahi kuadhibiwa kwa vipigo vizito kama huyo "Jamaa".
Naimani Msimu huu "ni zamu yetu'' tunaenda kuongeza kumbukumbu nyingine "mujarabu" katika vitabu vyetu vya HISTORIA.
"If you don't know history, then you don't know anything. You are a leaf that doesn't know it is part of a tree."
Wanamsimbazi wenzangu, hebu tukumbushane baaadhi ya kumbukumbu mujarabu, ili tusiwe kama jani walilokua wanalizungumzia wahenga.
LiGI KUU.
1. Miaka 39, Siku 15 zilizopita [July 19, 1977]!!
Simba S.C v Yanga S.C 6-0
WAFUNGAJI:
SIMBA; Abdallah King Kibadeni Mputa dk. 10, 42 na 89 [hii rekodi yake haijavunjwa mpaka sasa], Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73.
YANGA; Selemani Sanga alijifunga dk. 20.
2. Miaka 22, Siku 31 zilizopita [July 2, 1994]!!
Simba S.C v Yanga S.C 4-1
WAFUNGAJI:
SIMBA: George Magere Masatu, Athumani China, Madaraka Selemani "Mzee wa Kiminyio" na Dua Saidi.
YANGA; Constantine Kimanda.
3. Miaka 4, Siku 84 tu zilizopita [May 6, 2012]
Simba S.C v Yanga S.C 5-0
WAFUNGAJI:
SIMBA: Emmanuel Anorld Okwi dk 1 na 52, Felix Sunzu dk 47, Juma Kaseja dk 66 na Patrick Mutesa Mafisango dk 73.
BONUS: KOMBE LA TUSKER.
Miaka 12, Siku 125 zilizopita [March 31, 2002]!!
Simba S.C Vs Yanga S.C 4-1
WAFUNGAJI:
SIMBA: Mark Sirengo dk. 3 na 76, Madaraka Selemani dk. 32 na Emanuel Gabriel dk. 83.
YANGA: Sekilojo Chambua dk 16.
NB: Katika mechi hii, Mtani nusura aweke mpira kwapani na hii ni baada ya Madaraka Selemani "Mzee wa Kiminyio" kupachika goli maridadi kabisa kuwahi kushuhudiwa katika Uwanja wa Uhuru, na hii ilikua ni dk. ya 32.
Japo katika miaka 4 iliyopita, Mnyama katetereka kweli kweli.. ila Historia haioneshi kama alishawahi kuadhibiwa kwa vipigo vizito kama huyo "Jamaa".
Naimani Msimu huu "ni zamu yetu'' tunaenda kuongeza kumbukumbu nyingine "mujarabu" katika vitabu vyetu vya HISTORIA.