MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
iyo chai weka pilipili na chumvi endekezeni ujinga wa makungwi tu
hahahaha kwakel ni ujinga!bas tu
iyo chai weka pilipili na chumvi endekezeni ujinga wa makungwi tu
Wengine hawaogi ya baridiasili ya majina yetu hatujui kufake! mie siulizi ulikua wapi ukinipa hi nakupa hi! ila usilogwe unisumbue sumbue ! na maji nakuwekea kwan bafuni maji hayatoki??nakuwekea nn sasa ! hujui kufungulia bomba uoge?mxieeeeeeeeew
Ujuwe tu huna amri juu ya mwili wako, unamuacha akupande, katikati ya mtanange unasimama na kuanza kuhoji, tena unasubiri akiwa spidi 120km/hr.Kwenye Tamu inategemea
Mie hayo mengine nitafąnya ila Tamu hapana
Labda aamue tu kunipanda kama jogoo vile
Make hapo haimaanishi niko happy
Me bahati nzuri sipendi nigeneralized mambo,me naonaga hata mshikaji wangu tu akizingua katika jambo Fulani nispomchana nikamkaushia as long kazingua utaona anavyopata taabu full kujistukia, baada ya muda utaona anafuta jinsi ya kutafuta soln kimtindo,lakn kwa kuwa unamuelewa kamanda wako unapotezea lakn anakuwa kaelewa kazingua na wewe umejua kazingua!!!sio hao unaowawazia wewe!
Wasaidie wenzio hawajui kutofautisha ideal na realitySikatai mimi ni muhenga kwelikweli. Wengi hapa mimi ni dada yao!
Ni sawa lakini mimi siwezi ishi bila kuigusa hiyo simu.. Tena siku za hivi karibuni imebadilishwa password yaani sina amani.kabisa demi! kushika simu za hawa viumbe ni majanga tu! mie ndo kbssssss!
Hahaha nimecheka sana. Hivi wife anaendaje sehemu anijie saa sita usiku? Dadeq, unless ni issue naijua na tumepanga, la sivyo usiku huo hatutalala.sasa siku itokee mwanamke nae akachelewa kurudi! jaman ni timbwili km la asha ngedere!utafungiwa huko huko nje walah!!
niliwah kwenda harusini nikarud saa6 usk nilijieleza zaid ya lisaa 1 nikiwa nje, ndo nikafunguliwa! sijui wapoje!
Ni sawa lakini mimi siwezi ishi bila kuigusa hiyo simu.. Tena siku za hivi karibuni imebadilishwa password yaani sina amani.
Post sent using JamiiForums mobile app
Nashangaa na mimiasili ya majina yetu hatujui kufake! mie siulizi ulikua wapi ukinipa hi nakupa hi! ila usilogwe unisumbue sumbue ! na maji nakuwekea kwan bafuni maji hayatoki??nakuwekea nn sasa ! hujui kufungulia bomba uoge?mxieeeeeeeeew
Katika namna yoyote ile,lazma aelewe nn umemaanisha!!Japo kuna watu viburi
Ukijifanya bubu anajifanya kipofu ha ha ha
Hahaha nimecheka sana. Hivi wife anaendaje sehemu anijie saa sita usiku? Dadeq, unless ni issue naijua na tumepanga, la sivyo usiku huo hatutalala.
Mpe chai yawezekana hakuwa mbali na hapo nyumbani,inawezekana alikuwa akila timing ya nani ataingia kwenye nyumba yake ili afumanie...Haya jamani kama kichwa cha habari kinachosema,
Kule unyagoni tulifundishwa mume akirudi asubuhi muandalie staftahi wala usimuulize anatoka wapi. Kungwi akidai shughuli za wanaume ni nyingi inawezekana alilala central na akona aibu kukufahamisha.
Hii ni haki kweli nisijue alilala wapi? Mimi si ndiye next of kin sasa iweje nisiulize?
Tupeane ushauri hapa ninaona mafunzo ya kungwi yananichengua.
Mkuu najua kbs nitakapoishia sio kuzuri lakini nimejitahidi nisiwe nagusa lakini mikono inaniwasha ..yani sijui nitafanyeje!!hahahahaha sasa ww unajitaftia magonjwa ya presha na sukari juu! mie pia nilikuaga hvyo wakat naolewa (kwasabb nilikua mwaminifu saint kbsss) kila siku unajikuta unalia! mpk leo sijui nan alinipa hilo somo la kutoshika simu yake! namanisha sigus ht iite vip watt wataipeleka! na mm yangu hagusi! unajikuta unahesabu miaka my dear! PLS ACHA KBS!
Nashangaa na mimi
Wavae uhusika jamani hakuna kitu kinauma kama kumsubiria mtu usiku mzima humuoni hujui kapatwa na nini sio tahira useme anamatatizo ya akili hapana ni mtu mzima anayejitambua kwanini asitoe taarifa?
Alafu watu wanakuja na simple words eti muandalie chai, mpe maji ya kuoga chefuuu akanywe chai alipolala kama alishindwa kuwa na utu kwa kutambua maumivu ninayopata usiku huyo sio mtu ni pepomtu eti mie ndio nijivike roho ya kikristo hapana aiseeh sina moyo huo, usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio tusitesane jamani.
Ndio umeamua hivyo kweli?Kumuuliza sitomuuliza na kula ale ashibe, ila tu tusitiane shombo. Ntampa tu silent treatment