Leo Jumapili mume amerudi hii asubuhi ni haki nimpe chai na nisimuulize anatoka wapi?

Ujuwe tu huna amri juu ya mwili wako, unamuacha akupande, katikati ya mtanange unasimama na kuanza kuhoji, tena unasubiri akiwa spidi 120km/hr.
Aaah muda majamboz ni majamboz tu
Nikianzisha hayo si mtarimbo utalala dolo?
 
mie napendaga kuongelea haya mambo na mtu aliolewa atleast mtaelewana! wengn hawajaolewa au ana mkyumba humu lazima ajirembeshee lol!! subiri aingie kwenye ndoa atakavyokuwa na roho ya ibilisi!
Mhhhhh.... Ukijaribu kuwaza wanawake ndoani tuliwakosea mini hawa watu hakipo...
Alafu jinsi baadji yao wasivyojali ni shida....

Huwa nikihisi kitu nawaza mbali saaana saaaama.... Halafu jinsi nilivyo na roho mbaya.. Mhhhh..!!

Kuna jirani yangu aliolewa ghafla kijana wangu akaja( step son) alikuja nila taarifa sasa akawa anashangaa nimeolewa na mwanaume mwenye mtoto..!

Jamani jamani yule shem kabadilika kawa km muhindi mkavu anarudi nyumbani saa 7 amewahi anarudi asubuhi alagu hata kutoa matimizi ni kasheshe...

Wanaume mungu anawaona.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Huyo siyo Mume bali una mtoto wa kulea tu hapo na mara nyingi ni chadema huyo, piga chini fasta!
Hata kwenye ndoa unawaleta chadema?!. Inaonekana walikufanya kitu mbaya

Ukiwakumbuka sana kunywa maji ukalale uondoe stress. Ccm ni akina Diallo siyo we kapuku.

Cairo's
 
Kule unyagoni tulifundishwa mume akirudi asubuhi muandalie staftahi wala usimuulize anatoka wapi...

Uliwahi kusikia mafundisho ya uongo? Ndio hayo sasa.

Ile anaingiza pua yake ndani ya nyumba mkate mtama mmoja matata, kabla hajanyanyuka mpe kelb mbili hatari. Akili itamuijia then muulize alikua wapi akifanya nini hadi arudi asubuhi.

Ya kumpa chai na mazagazaga mengine its your call.
 
Asante mkuu..!!kuna wakati Fulani nilikuwa nawashangaa sana wanawake wanaolialia kuwa waume zao wasaliti..

Masikini mimi kumbe muda ndio mwamuzi mzuri.

Post sent using JamiiForums mobile app
Mwanaume ni mtu WA kutaka attention toka kwa jamii yake,..
Kama huamin wakat anatia mbwembwe za kurudi asubuhi we Fanya HV,akiondoka akasahau sim yake kama una access na password ya sim yake,mu SMS kupitia sim yake,ubadili jina ulomsevu,uandike "Unajua kunikita mpaka unanihamisha Sayari" then siku ukiona yupo loose iache hyo sim yako mezani hafu jifanye huna habar na SMS ulojiesms toka kwake ifute kwenye simu yake,akiisoma SMS hyo kwenye sim yako,hata namba yake hatoikumbuka kama yake!!!povu lake Mungu ndio anajua!!!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
hahahahaha sasa ww unajitaftia magonjwa ya presha na sukari juu! mie pia nilikuaga hvyo wakat naolewa (kwasabb nilikua mwaminifu saint kbsss) kila siku unajikuta unalia! mpk leo sijui nan alinipa hilo somo la kutoshika simu yake! namanisha sigus ht iite vip watt wataipeleka! na mm yangu hagusi! unajikuta unahesabu miaka my dear! PLS ACHA KBS!
Ur nt a saint anymo
 
Mwanaume ni mtu WA kutaka attention toka kwa jamii yake,..
Kama huamin wakat anatia mbwembwe za kurudi asubuhi we Fanya HV,akiondoka akasahau sim yake kama una access na password ya sim yake,mu SMS kupitia sim yake,ubadili jina ulomsevu,uandike "Unajua kunikita mpaka unanihamisha Sayari" then siku ukiona yupo loose iache hyo sim yako mezani hafu jifanye huna habar na SMS ulojiesms toka kwake ifute kwenye simu yake,akiisoma SMS hyo kwenye sim yako,hata namba yake hatoikumbuka kama yake!!!povu lake Mungu ndio anajua!!!

Post sent using JamiiForums mobile app


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ukimuuliza kichwa kichwa na yeye akikujibu kama ulivyomjia usijae upepo
Hakuna haja ya kumuuliza Mme wako ametoka wapi anapoludi hasubuhi ili hali unajuwa jana alikuaga anaenda wapi

Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
 
Sigusi hata siku moja. Kwani natafuta nini? Siku nikigusa au nikimfatilia ujue ni kitu kikubwa sana nimehisi na ninakuwa nipo tayari kuachana nae. Staki pressure mie
Maneno haya husemwa na wengi kinadharia lakini kimatendo hayatendwi na walio wengi,binafsi sitendi nisipomfatilia Mimi mume wangu atafatiliwa na nani sasa!? Maana tangu awaache wazazi wake nami kuwaacha wazazi wangu Mimi ndie mlinzi wake na yeye ndie mlinzi wangu,kumfatilia mtu kumbuka si ugomvi ila ni kuonyesha nna gani unamjali hivyo usijidanganye kuacha kusoma hatua zake basi ni mapenzi ya dhati uliyonayo,muda mwingine yanasadifu namna ulivyo muoga

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu najua kbs nitakapoishia sio kuzuri lakini nimejitahidi nisiwe nagusa lakini mikono inaniwasha ..yani sijui nitafanyeje!!

Nitalia na kumuita Mungu.. And am very innocent kama wewe my dada

Post sent using JamiiForums mobile app
Unataka kuwa stressed free ni rahisi tu,kwa kuwa mwenzi wako kazoea lazma uwashwe kushika sim yake,jifanye nunda piga moyo konde jikaze kisabuni,one week usijihusishe na sim yake,uone atakavyopata Tabu!!! Atakuwa anajisahaulisha sim yake huku anachungulia aone umeenda japo kuishika,wakat wewe habari huna... Utakuwa ume win,wazo lake la kwanza atadhan amepate mtu anae Mi assist wakat si kweli,utaona atakavyojifanya innocent kwako mpaka utajiona mshindi!! Na usirudi nyuma katika hilo la kuzoea simu,atanyoosha mikono juu mwendo WA Mateka.!!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wanawake hamjui kuwa jinsi mnavyofanya mambo nasisi huwa ndio tunaishi hivyo....kama hupendi mumeo achelewe kurudi kuwa mkali ajue kuwa hupendi utaona lazima atakuwa anaepusha matatizo na kuwahi kurudi au kutoa taarifa pale anapochelewa lkn mtu akirudi saa 6 naww umekaa kimya ndio inakuwa viza tayari


Mm mke wangu ilikuwa ikifika saa 3 sijarudi simu itaita lazima aulize upo wapi mbona hurudi home ina maana hutaki kukaa na familia yako...maneno yananichoma mwnyw narudi km siku ntachelewa nasema mapema na isizidi saa 6 sijarudi.


Kuna siku wakat mke wangu mjamzito nilichelewa kurudi akanipigia simu akafoka akasema na usirudi kbs mm nkaendelea na ulevi mpk saa 8 simu ikaanza kuita sipokei nmerudi saa 10 nkamkuta kakaa nje mlangoni nlijisikia vibaya sana
 
Haya jamani kama kichwa cha habari kinachosema,

Kule unyagoni tulifundishwa mume akirudi asubuhi muandalie staftahi wala usimuulize anatoka wapi. Kungwi akidai shughuli za wanaume ni nyingi inawezekana alilala central na akona aibu kukufahamisha.

Hii ni haki kweli nisijue alilala wapi? Mimi si ndiye next of kin sasa iweje nisiulize?

Tupeane ushauri hapa ninaona mafunzo ya kungwi yananichengua.
Jambo la msingi ni kumuuliza tu maana usipo muuliza litakutesa sana moyoni muulize ili uwe huru ktk nafsiyako ingawa hutoweza kubadili chochote,aina ya kumuuliza ndo inataka utulivu sio vurugu.ila kuwa na imani ukweli utaujua tu siku si nyingi
 
Back
Top Bottom