Bora asingeenda kambisa tungemuelewa kuwa alituma salamu za rambirambi kwa mkuu wa mkoa na akamtuma PM kumuwakirisha. Sasa hii ya kwenda after one month kwa kweli haiingii akilini. May be ni kweli anaogopa maji au juju zake hazipatani na maji!!!
Hapana. Hayupo Kilosa. Safari yake imeahirishwa. TBC Taifa walitangaza jana na kumnukuu mkuu wa mkoa wa Morogoro akisema kuwa safari ya Rais imeahirishwa kwa sababu maandalizi bado hayajakamilika.
Hapana. Hayupo Kilosa. Safari yake imeahirishwa. TBC Taifa walitangaza jana na kumnukuu mkuu wa mkoa wa Morogoro akisema kuwa safari ya Rais imeahirishwa kwa sababu maandalizi bado hayajakamilika.
Hapana. Hayupo Kilosa. Safari yake imeahirishwa. TBC Taifa walitangaza jana na kumnukuu mkuu wa mkoa wa Morogoro akisema kuwa safari ya Rais imeahirishwa kwa sababu maandalizi bado hayajakamilika.