Humphrey Polepole,
..Magufuli ana tuhuma za kuuza nyumba ya serikali nchi nzima kwa bei ya hasara.
..kuna wanaomtetea kwamba ni uamuzi wa baraza la mawaziri. lakini tatizo linakuja kwamba hata yeye mwenyewe alijiuzia nyumba hizo na baadhi tunaambiwa aliuza kwa ndugu zake.
..sasa hebu tuambie huyu unaanza vipi kumsafisha? wewe kama mwana-ccm umemkubali mgombea huyu? je, kama mwana-ccm una moral authority ya kumnyooshea kidole Lowassa ambaye amesema richmond ilikuwa amri ya mamlaka ya juu yake, na hakuna mahali popote ilipobainika kwamba Lowassa amefaidika binafsi na richmond?
Hvi aliye weka sahihi kwenye mkataba wa richmond ni nani? Kama aliweka lowasa basi yeye ndo anapaswa kubeba msalaba maana yeye kaona mkataba mbovu na bado karidhia kuweka dole gumba lake, hakuna kiongozi hapa kama wakina,luanjo wamempeleka mjini hataweza kua mkuu wa kaya, bye bye lowasa ikulu ndo basi tena kwako
Last edited by a moderator: