Nkobe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 2,170
- 3,177
Hamprey Polepole anasema yeye anasimamia Katiba ya Warioba ambayo kimsingi inasimamia misingi ya Mtanzania, lakini anajitambulisha kuwa yeye ni Mwanachama wa CCM, chama ambacho kimeikataa KATIBA ya Warioba. Jambo la ajabu ni kwamba anawashangaa Umoja wa Katiba ya Wananchi ( ya Warioba) UKAWA kumpokea mtu mmoja (LOWASA) ambae anatokea Chama kinachokataa Katiba ya Warioba (CCM).
Ukisoma hiyo logic unaweza kujiuliza, yeye ni msafi lakini ni mwanachama wa Waovu, lakini anachukia wasafi kupokea Muovu.
Toa maoni yako
Ukisoma hiyo logic unaweza kujiuliza, yeye ni msafi lakini ni mwanachama wa Waovu, lakini anachukia wasafi kupokea Muovu.
Toa maoni yako