Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,325
- 152,136
Wakati Bunge la Katiba likiendelea na kazi kuandika Katiba mpya,vifungu au hoja zilizohusu kupunguza madaraka ya Raisi zilikuwa zikipingwa vikali na wana-CCM ndani ya Bunge la Katiba na hata wana-CCM ambao hawakuwa wajumbe wa Bunge la Katiba.
Sasa leo hii endapo mchakato wa kuandaa Katiba inayopendekezwa ukarudiwa na vifungu vya Katiba vikapitishwa kwa kura ya siri,unadhani wana-CCM hawa wataendelea kutaka madaraka ya Raisi yabaki kama yalivyo kwenye katiba ya sasa/inayopendekezwa?
Naomba tu mchakato huu urudiwe sasa ili mjue hawa watu walikuwa wanasimamia nini na kwa faida ya nani.
Sasa leo hii endapo mchakato wa kuandaa Katiba inayopendekezwa ukarudiwa na vifungu vya Katiba vikapitishwa kwa kura ya siri,unadhani wana-CCM hawa wataendelea kutaka madaraka ya Raisi yabaki kama yalivyo kwenye katiba ya sasa/inayopendekezwa?
Naomba tu mchakato huu urudiwe sasa ili mjue hawa watu walikuwa wanasimamia nini na kwa faida ya nani.