Leo hakuna tochi njia ya Moshi Arusha!!??

Leo hakuna tochi njia ya Moshi Arusha!!??

24054c318e623602670f52c539fadc9d.jpg
d09e7e70c48164f23eb219cb266e7f07.jpg
62285e46c69cc763c0fb6e1adc9280d8.jpg
Mkuu nipo dar es press uko wapi hapa? Nipo kwa dj
 
Mwendo kasi wa kilo mita 120 kwa saa kwa basi ni sawa na gari dogo 140 sawa kinacho leta taabu ni ubovu wa barabara magari na uzembe wa madereva.
Dreva aliye makini kuangalua mapungufu hamna taabu.
Wazembe wanapinduka na materekita na puna na guta

unataka kuniambia kilo 120 za chuma ni nzito zaidi ya kilo 120 za pamba????
 
Ili uchumi ukue..ni lazima business class..waende kasi...na wafike sehemu zao za biashara..kwa haraka..hapo ndo uchumi utakua unaelekea kukua..lkn kama arusha..km,80..unatumia lisaa na nusu..au mawili kwa sababu ya torch..ni majanga.hapo zinatakiwa two way...from arusha to moshi...
 
Tumeenda kupata chakula mara moja ngoja tutumie tulizokusanya mchana tutarudi kwa hasira tukusanye za jioni.Hamkomi tu
Habari wakuu nipo safarini naelekea Arusha....kwa speed hii nahisi tutafika Arusha saa 7 mchana........

Najiuliza leo wazee wa tochi wamejisahau au ndio mambo ya mlungula.......

NB
Nimepanda Dar express ya Nairobi.....

ab227a95c3c02fc52228106cbb9fd85f.jpg
 
Sasa speed 30 unatembeaje kwamfano !
Sasa si bora waseme hairuhusiwi kuendesha gari eneo hili tujue.

Kimbiza siku ukitenda wanalokusaidia kukumbushia lisikutokee ndio utakiona
 
Back
Top Bottom