KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,908
- 40,134
- Thread starter
- #21
si nimekupa muda wa kufika korogwe kwa gari lililowahi
Sawa mkuu.....ngoja Safari iendelee......
si nimekupa muda wa kufika korogwe kwa gari lililowahi
Mwendo kasi wa kilo mita 120 kwa saa kwa basi ni sawa na gari dogo 140 sawa kinacho leta taabu ni ubovu wa barabara magari na uzembe wa madereva.
Dreva aliye makini kuangalua mapungufu hamna taabu.
Wazembe wanapinduka na materekita na puna na guta
Nafikiri ajajua kama unatokea Dar kuelekea AR, yeye anadhani unatoka AR kuelekea Dar.Sawa mkuu.....ngoja Safari iendelee......
Huyu ni nani kwani
Kumbe madereva wanaogopa tochi sio sheria za usalama barabaraniHabari wakuu nipo safarini naelekea Arusha....kwa speed hii nahisi tutafika Arusha saa 7 mchana........
Najiuliza leo wazee wa tochi wamejisahau au ndio mambo ya mlungula.......
NB
Nimepanda Dar express ya Nairobi.....
![]()
Habari wakuu nipo safarini naelekea Arusha....kwa speed hii nahisi tutafika Arusha saa 7 mchana........
Naona upo ndani ya G7Habari wakuu nipo safarini naelekea Arusha....kwa speed hii nahisi tutafika Arusha saa 7 mchana........
Najiuliza leo wazee wa tochi wamejisahau au ndio mambo ya mlungula.......
NB
Nimepanda Dar express ya Nairobi.....
![]()
Nimetoka Moshi juzi nimekamatwa zaidi ya Mara saba .
Speed ndogo sijui kwanini inanishinda siku hizo.
Yani nikifika kwenye kibao cha 50 napunguza ila baada ya sekunde kadhaa naukuta mshale wa speed unasoma kwenye 80.
Kwa kweli serikari iangalie hizi speed limit ni ndogo sana wengine magari hayarusu kutembea na speed hiyo!.
Korogwe tu wapo kibaaaaoMtakutana na trafick wa kabuku pale
wale huwa wapo muda wote.