mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana JF leo jamaa wanakunja posho na kuondoka,ila Jana walilaza Kiporo cha Mivutano kuhusu wakuu wa wilaya na Wakurugenzi,Tetesi ni Kwamba wote watabaki kwa Imani kuwa CCM(wakuu wa wilaya)Wakurugenzi(chadema)
Maamuzi ya kijinga haya yameamuliwa ili ionekane Ngoma Draw..
Hawa wabunge sasa naona wanataka kuchezea hawa wote watafanyaje kazi?ni kuleta tu migongano
Maamuzi ya kijinga haya yameamuliwa ili ionekane Ngoma Draw..
Hawa wabunge sasa naona wanataka kuchezea hawa wote watafanyaje kazi?ni kuleta tu migongano