Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Wakuu angalau kidogo biashara yangu leo imekwenda vizuri, siku chache zilizopita hali ilikuwa mbaya...
Sidhani kama kuna uhusiano kati ya mfungo na biashara kuwa mbovu karibu mwezi mzima ulioishaWalaji wa kitimoto wamemaliza mfungo!!! Duh, bei itapanda nini!??
MKUU HIZO NI KEJELI, HESHIMU IMANI YA WENZAKO.
Haya ndio mambo yanayojenga chuki kwenye jamii,
mwisho wa siku tunalalamika kuna udini kumbe sisi wenyewe ndio chanzo.
Wakuu angalau kidogo biashara yangu leo imekwenda vizuri, siku chache zilizopita hali ilikuwa mbaya...
Halafu Mkuu lazima Degree yako ya kurosti utakuwa umeipatia Majuu, manake mm hapa mate yamejaa, ngoja nichepuke kidogo nije nikutafute unitengenezee kilo mbili rosti, pilipili kwa mbaaaali na ndimu sio limao.mbona chumvi inaonekana kuliwa zaidi kuliko nyama yenyewe?
View attachment 62491
............................wa kunukuuuuu...........................
wacha bwana hiyo ni agano la kale agano jipya Mungu hajaumba najisi bwana la sivyo kwanini alimuumba huyu nguruwe ?kweli naenda tafuta hii kitu leo nusu roho intoke kwa uroho wanguView attachment 62491
............................wa kunukuuuuu...........................
wacha bwana hiyo ni agano la kale agano jipya Mungu hajaumba najisi bwana la sivyo kwanini alimuumba huyu nguruwe ?kweli naenda tafuta hii kitu leo nusu roho intoke kwa uroho wangu
Mkuu naunga mkono hoja 100%. Watajiju....Sasa kucheuwa kwa nguruwe kunatuhusu nnini siye Waafrika? Hayo si magizo kwa Waarabu na Wazayuni? Hata hilo torati si Uafrika!!
View attachment 62491
............................wa kunukuuuuu...........................