Leo afadhali

Leo afadhali

Mzito Kabwela

Platinum Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
18,908
Reaction score
7,751
Wakuu angalau kidogo biashara yangu leo imekwenda vizuri, siku chache zilizopita hali ilikuwa mbaya...


P1000548.JPG
 
aisee......never assume...............
MKUU HIZO NI KEJELI, HESHIMU IMANI YA WENZAKO.
Haya ndio mambo yanayojenga chuki kwenye jamii,
mwisho wa siku tunalalamika kuna udini kumbe sisi wenyewe ndio chanzo.
 
Sawa wakati wewe upo kwenye biashara yako bar mimi nilikua guest na wandani wako umpendae.NGOMA DRAW!!!
 
tutafanyaje sasa waislamu tunaipenda hiyo.plizi usimwambie mufti na kadhi wasije wakatukata mikono
 
DAh, jamaa kaamsha hisia zangu juu ya hii kitu, leo jioni lazima nikapate kidogo kutuliza mtima, huku kwetu kuna mahali wanaitengeneza vizuri especially ile ya kurost na kuchoma ni balaa.
 
Back
Top Bottom