Leo 22/8/2015 kampeni zinazinduliwa rasmi

Leo 22/8/2015 kampeni zinazinduliwa rasmi

ukata

Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
8
Reaction score
5
Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi leo watanzania wanaanza kusikiliza sera,hoja,kejeri na mambo mengi kutoka kwa wagombea wa nafasi mbalimbali.

Ombi langu kwa wagombea wote bila kujali chama au itikadi yako mjikite kwenye hoja" mtuambie ninimtatufanyia na mnampango kazi upi utakao wawezesha kufanya hayo mnayo tuambia ilikututoa hapa tulipo.

Lakini sio kufanya kampeni za matusi, dharau baina yenu,mjitaidi kufanya siasa za staa watanzania saizi maisha yamesha wafundisha ni waelewa sana."

Naomba kuwasilisha.
 
UKAWA wameahirisha campaign hawataanza leo...

Source: magazeti
 
Natamani nipate ratiba ya uhakika ya mikutano ya Chadema....
 
ukawa wangeenda kuzindua kampeni zao nje ya dar. ingependeza sana kwa kweli..


Sure mkuu..na campaign wangemalizia Dar ingependeza zaidi,yaani ile mikoa waliyotembelea kumtambulisha Mh Lowassa ingekuwa ya mwisho.
 
Back
Top Bottom