Lengo la UKAWA ni nini?

Lengo la UKAWA ni nini?

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
LENGO LA UKAWA NI NINI??

Najaribu kutafakari kwa kina,hivii huu Umoja wa Katiba(Ukawa) ni kweli una nia thabiti ya kumkomboa raia au kuna jambo nyuma yake.CDM ndio chama kikubwa kwa umoja huo,chama hicho ndo kimekuwa mstari wa mbele ktk kuhakikisha kinaitoa dola madarakani!Najiuliza mbona viongozi wakuu wa CDM karibu asilimia kubwa ni wa kaskazini?alaf pia katika utendaji wao wa kazi ndani ya hiyo UKAWA hawa jamaa wamekuwa mstari wa mbele sana kuwatetea wakaskazini kwa haraka kuliko wengine!

MATHALANI,alipowekwa ndani Masha ilichukua muda mrefu sana kumtoa ilhali wanapowekwa ndani wakaskazini hali inakuwa tofauti,Mwenyeki wa NLD kule jimbon kwake wananchi walitamka mbele ya DUNI kuwa hawamtaki,CDM hawakutoa kauli yoyote juu ya hilo,kule Vunjo napo kulitoa vuguvugu kama hilo ila MBOWE alidiriki kunyanyua kinywa chake na kusema jambo!Nahis Lipumba aliona mbali,Mzee makaidi anaadhirika nao,babu Duni keshakata tamaa,hata siku moja huwez jenga nyumba ya mwenzako we yako inavuja!

Mi nahisai kwa sasa UKAWA ni kama vile Umoja wa Kabila la Wachaga:Watanzania tujiulize,hawa jamaa wana nia gani na watanzania??

TAFAKARI
 
hata kama viongozi wa ukawa wangekua ni wakongo sisi ni kuwinjika kurs tu, ukawa hoyee.
 
LENGO LA UKAWA NI NINI??
Najaribu kutafakari kwa kina,hivii huu Umoja wa Katiba(Ukawa) ni kweli una nia thabiti ya kumkomboa raia au kuna jambo nyuma yake.CDM ndio chama kikubwa kwa umoja huo,chama hicho ndo kimekuwa mstari wa mbele ktk kuhakikisha kinaitoa dola madarakani!Najiuliza mbona viongozi wakuu wa CDM karibu asilimia kubwa ni wa kaskazini?alaf pia katika utendaji wao wa kazi ndani ya hiyo UKAWA hawa jamaa wamekuwa mstari wa mbele sana kuwatetea wakaskazini kwa haraka kuliko wengine!MATHALANI,alipowekwa ndani Masha ilichukua muda mrefu sana kumtoa ilhali wanapowekwa ndani wakaskazini hali inakuwa tofauti,Mwenyeki wa NLD kule jimbon kwake wananchi walitamka mbele ya DUNI kuwa hawamtaki,CDM hawakutoa kauli yoyote juu ya hilo,kule Vunjo napo kulitoa vuguvugu kama hilo ila MBOWE alidiriki kunyanyua kinywa chake na kusema jambo!Nahis Lipumba aliona mbali,Mzee makaidi anaadhirika nao,babu Duni keshakata tamaa,hata siku moja huwez jenga nyumba ya mwenzako we yako inavuja!Mi nahisai kwa sasa UKAWA ni kama vile Umoja wa Kabila la Wachaga:Watanzania tujiulize,hawa jamaa wana nia gani na watanzania??TAFAKARI

Uko la ngap?Ukanda unatokea wap????
 
LENGO LA UKAWA NI NINI??
Najaribu kutafakari kwa kina,hivii huu Umoja wa Katiba(Ukawa) ni kweli una nia thabiti ya kumkomboa raia au kuna jambo nyuma yake.CDM ndio chama kikubwa kwa umoja huo,chama hicho ndo kimekuwa mstari wa mbele ktk kuhakikisha kinaitoa dola madarakani!Najiuliza mbona viongozi wakuu wa CDM karibu asilimia kubwa ni wa kaskazini?alaf pia katika utendaji wao wa kazi ndani ya hiyo UKAWA hawa jamaa wamekuwa mstari wa mbele sana kuwatetea wakaskazini kwa haraka kuliko wengine!MATHALANI,alipowekwa ndani Masha ilichukua muda mrefu sana kumtoa ilhali wanapowekwa ndani wakaskazini hali inakuwa tofauti,Mwenyeki wa NLD kule jimbon kwake wananchi walitamka mbele ya DUNI kuwa hawamtaki,CDM hawakutoa kauli yoyote juu ya hilo,kule Vunjo napo kulitoa vuguvugu kama hilo ila MBOWE alidiriki kunyanyua kinywa chake na kusema jambo!Nahis Lipumba aliona mbali,Mzee makaidi anaadhirika nao,babu Duni keshakata tamaa,hata siku moja huwez jenga nyumba ya mwenzako we yako inavuja!Mi nahisai kwa sasa UKAWA ni kama vile Umoja wa Kabila la Wachaga:Watanzania tujiulize,hawa jamaa wana nia gani na watanzania??TAFAKARI

Ukanda kwa sasa hauna nafasi tutajagua viongozi kutokana na uwezo wao binafsi kiutendaji. Wanaotanguliza ukanda hao hao wataanzisha udini.
 
Tunachagua viongozi wasiotangulizaa udini na ukanda. Viongozi wote walioonesha kujiingiza katika ukanda sio wa kuchagua, watanzania wanahitaji viongozi waadilifu.
 
Lengo ni kuwapiga Chini CCM tuuu

Walaumu wazazi wako kwa kukuzaa na akiri robo, kwahiyo kuitoa CCM ndo ajenda ya uchaguzi? ndo maana mnatembeza mizimu eti tuichague iende Ikulu, robot liwe rais kwani wanadamu hawapo Tz?
 
Lengo kuu la UKAWA ni katiba ya wananchi iliyopigwa teke na CCM wakitumia mfumo wao mbovu. Sasa UKAWA inaongoza wananchi kufanya mabadiliko ya mfumo wa CCM. Saidia kuleta mabadiliko kwa kuchagua UKAWA tarehe 25th october.
 
Ukawa ni wapiga dili tu, hivo kutanguliza ukanda ndo malengo hasa waliyonayo ktka mikutano yao.
 
Nchi ikiwa mikononi mwa ukawa, hali itakuwa mbaya sana.
Udini, ukanda ndo ilani yao kuu chini ya mwamvuli wa ukombozi.
Ukawa hatuwataki
 
Mabadilikolowassa lowassamabadiliko hiyo ndiyo habari ya mjini.
 
Lengo kuu la UKAWA ni katiba ya wananchi iliyopigwa teke na CCM wakitumia mfumo wao mbovu. Sasa UKAWA inaongoza wananchi kufanya mabadiliko ya mfumo wa CCM. Saidia kuleta mabadiliko kwa kuchagua UKAWA tarehe 25th october.

Walisema Lowassa ni mchafu juzi wanazunguka wanasema walikuwa wanazuga, juzi walisema katiba alafu kesho ushajiuliza watakuja kukwambiaje? au unasubiri yakukute? mtu asiyeaminika hata sekunde usiangaike naye kumsikiliza ..hawa huitwa walaghai na matapeli.
 
LENGO LA UKAWA NI NINI??
Najaribu kutafakari kwa kina,hivii huu Umoja wa Katiba(Ukawa) ni kweli una nia thabiti ya kumkomboa raia au kuna jambo nyuma yake.CDM ndio chama kikubwa kwa umoja huo,chama hicho ndo kimekuwa mstari wa mbele ktk kuhakikisha kinaitoa dola madarakani!Najiuliza mbona viongozi wakuu wa CDM karibu asilimia kubwa ni wa kaskazini?alaf pia katika utendaji wao wa kazi ndani ya hiyo UKAWA hawa jamaa wamekuwa mstari wa mbele sana kuwatetea wakaskazini kwa haraka kuliko wengine!MATHALANI,alipowekwa ndani Masha ilichukua muda mrefu sana kumtoa ilhali wanapowekwa ndani wakaskazini hali inakuwa tofauti,Mwenyeki wa NLD kule jimbon kwake wananchi walitamka mbele ya DUNI kuwa hawamtaki,CDM hawakutoa kauli yoyote juu ya hilo,kule Vunjo napo kulitoa vuguvugu kama hilo ila MBOWE alidiriki kunyanyua kinywa chake na kusema jambo!Nahis Lipumba aliona mbali,Mzee makaidi anaadhirika nao,babu Duni keshakata tamaa,hata siku moja huwez jenga nyumba ya mwenzako we yako inavuja!Mi nahisai kwa sasa UKAWA ni kama vile Umoja wa Kabila la Wachaga:Watanzania tujiulize,hawa jamaa wana nia gani na watanzania??TAFAKARI

sijui nyie miccm mmelogwa tushaambia propaganda za ukanda,udini na ukabila ni ya kitoto sana kawadanganyie watoto wa chekechea labda watakuelewa.
 
LENGO LA UKAWA NI NINI??
Najaribu kutafakari kwa kina,hivii huu Umoja wa Katiba(Ukawa) ni kweli una nia thabiti ya kumkomboa raia au kuna jambo nyuma yake.CDM ndio chama kikubwa kwa umoja huo,chama hicho ndo kimekuwa mstari wa mbele ktk kuhakikisha kinaitoa dola madarakani!Najiuliza mbona viongozi wakuu wa CDM karibu asilimia kubwa ni wa kaskazini?alaf pia katika utendaji wao wa kazi ndani ya hiyo UKAWA hawa jamaa wamekuwa mstari wa mbele sana kuwatetea wakaskazini kwa haraka kuliko wengine!MATHALANI,alipowekwa ndani Masha ilichukua muda mrefu sana kumtoa ilhali wanapowekwa ndani wakaskazini hali inakuwa tofauti,Mwenyeki wa NLD kule jimbon kwake wananchi walitamka mbele ya DUNI kuwa hawamtaki,CDM hawakutoa kauli yoyote juu ya hilo,kule Vunjo napo kulitoa vuguvugu kama hilo ila MBOWE alidiriki kunyanyua kinywa chake na kusema jambo!Nahis Lipumba aliona mbali,Mzee makaidi anaadhirika nao,babu Duni keshakata tamaa,hata siku moja huwez jenga nyumba ya mwenzako we yako inavuja!Mi nahisai kwa sasa UKAWA ni kama vile Umoja wa Kabila la Wachaga:Watanzania tujiulize,hawa jamaa wana nia gani na watanzania??TAFAKARI

Mwandishi yupo sahihi kabisa na ukiangalia kwa undani zaidi kila wanakopita ajenda zao ni za ukanda ukilinganisha na matatizo ya wanainchi.
 
Mabadiliko kwa ukawa ni ndoto za matumaini, ukanda na udini havina tija kwa taifa letu, tushazoea kuishi kijamaa leo ulete udini, la hatari sana, hakuna atakaye danganyika katika hilo.
 
Back
Top Bottom