Freedom of speech is a constitutional right and isn’t negotiable!Sijui ni nani msimamizi wa jambo hili linaloitwa press conference nchini .
Kwa maoni yangu ni kwamba kila mwenye fedha anaitisha press conference na hakuna wa kumbabaisha.
Tabia hii itakomeshwa lini?
Kwahiyo Butiku ndiye mkandarasi mkuu (main contractor) wa maridhiano!?Mzee Buti Kuu aliitaja kandarasi ya maridhiano kwamba kigoda cha Mwalimu kitashiriki.
Anaandaa mazingira ya kulivaa gunia Hilo la misumari. Kaanza na Leo kuchezesha cheusi chekundu.
As you may already know, a press conference is just a formal event where individuals (politicians, CEOs, etc.) present information and answer questions from journalists (the press). It's a vital tool for disseminating news and providing context.What about freedom of press conference?
Kumbe wewe ni kilaza tu, press ile ni project ya CCM na dola, Mzee anauma na kupulizia nia ni kutaka watu wamuamini na kumkubali then anapenyeza hoja ya maridhiano. Kama hukuliona hili basi nyie ndiyo chawa hoya hoya hamjui nini kinaendelea huko jikoni. Mzee Butiku ni snitch tu na hatumtaki mnafiq mkubwa.Sijui ni nani msimamizi wa jambo hili linaloitwa press conference nchini .
Kwa maoni yangu ni kwamba kila mwenye fedha anaitisha press conference na hakuna wa kumbabaisha.
Tabia hii itakomeshwa lini?
Unaishi kizee japo ni dogo. Naona wizi wa kura na mauaji uanwatesa hadi hamtaki watu waongee kwa kuogopa uchafu wenu kuwekwa hadharani.Sijui ni nani msimamizi wa jambo hili linaloitwa press conference nchini .
Kwa maoni yangu ni kwamba kila mwenye fedha anaitisha press conference na hakuna wa kumbabaisha.
Tabia hii itakomeshwa lini?