Lengo la kunywa pombe

Lengo la kunywa pombe

jsenyinah

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
249
Reaction score
339
Pombe ni lishe,kinywaji na chakula kinachopendwa sana na mamilioni ya wanadamu duniani kote.

Mtu anapokunywa pombe,humsahaurisha (kwa muda) na matatizo, msongo wa mawazo, madeni, shida, unyonge/upweke na kujiona yeye yupo juu ya mbingu na nchi.Mlevi/mnywaji hujiona yeye ni yeye, yeye ni raia namba moja hapa duniani. Wengi hupenda kunywa pombe nyakati za jioni.Kwa hapa Tanzania, pombe hunywewa zaidi ya soda.

Kuna ambao wakinywa pombe,huanza kuongea kiingereza mpaka kichina...na kuna ambao hugeuka mabondia!

Pombe humkumbusha mtu mambo mengi ya zamani na huleta hisia kali. Pombe huleta ujasiri.

Japokuwa pombe huleta hasara kiuchumi, imekuwa n vigumu sana watu kuacha/kupunguza pombe. Na mara nyingi wanywaji wengi hubajetia pombe toka kwenye mishahara (vipato) vyao,hata kama mshahara/kipato kiduchu namna gani.

Kwe wanaotumia pombe, unafikiri nn lengo la kunywa pombe?

Nawasilisha.
 
Pombe ni lishe,kinywaji na chakula kinachopendwa sana na mamilioni ya wanadamu duniani kote.

Mtu anapokunywa pombe,humsahaurisha (kwa muda) na matatizo, msongo wa mawazo, madeni, shida, unyonge/upweke na kujiona yeye yupo juu ya mbingu na nchi.Mlevi/mnywaji hujiona yeye ni yeye, yeye ni raia namba moja hapa duniani. Wengi hupenda kunywa pombe nyakati za jioni.Kwa hapa Tanzania, pombe hunywewa zaidi ya soda.

Kuna ambao wakinywa pombe,huanza kuongea kiingereza mpaka kichina...na kuna ambao hugeuka mabondia!

Pombe humkumbusha mtu mambo mengi ya zamani na huleta hisia kali. Pombe huleta ujasiri.

Japokuwa pombe huleta hasara kiuchumi, imekuwa n vigumu sana watu kuacha/kupunguza pombe. Na mara nyingi wanywaji wengi hubajetia pombe toka kwenye mishahara (vipato) vyao,hata kama mshahara/kipato kiduchu namna gani.

Kwe wanaotumia pombe, unafikiri nn lengo la kunywa pombe?

Nawasilisha.
Starehe
 
Una maana gani?alishasema tusimjaribu!tukimjaribu tutalewa sisi.
 
Pombe ni lishe,kinywaji na chakula kinachopendwa sana na mamilioni ya wanadamu duniani kote.

Mtu anapokunywa pombe,humsahaurisha (kwa muda) na matatizo, msongo wa mawazo, madeni, shida, unyonge/upweke na kujiona yeye yupo juu ya mbingu na nchi.Mlevi/mnywaji hujiona yeye ni yeye, yeye ni raia namba moja hapa duniani. Wengi hupenda kunywa pombe nyakati za jioni.Kwa hapa Tanzania, pombe hunywewa zaidi ya soda.

Kuna ambao wakinywa pombe,huanza kuongea kiingereza mpaka kichina...na kuna ambao hugeuka mabondia!

Pombe humkumbusha mtu mambo mengi ya zamani na huleta hisia kali. Pombe huleta ujasiri.

Japokuwa pombe huleta hasara kiuchumi, imekuwa n vigumu sana watu kuacha/kupunguza pombe. Na mara nyingi wanywaji wengi hubajetia pombe toka kwenye mishahara (vipato) vyao,hata kama mshahara/kipato kiduchu namna gani.

Kwe wanaotumia pombe, unafikiri nn lengo la kunywa pombe?

Nawasilisha.
Mbona umeanza na majibu halafu ukamaliza kwa swali?
Umevurugwa eti ee?
 
Kwenye mada yako tayari umeelezea lengo, ikiwemo kusahau shida, kutoa uzuni nk, sasa unataka maelezo yapi tena?
 
La kuongezeaaa....

Kuna Bar zina pombe Tamuu balaa...

Yaani ukishagundua bar flani ina pombe tamuu..hata bar iwe wapi utaifuata tuu.....though Bia ni ile ile ya kilimanjaro!

Mimi kile kiosk nakunywaga bia sitaacha..
 
La kuongezeaaa....

Kuna Bar zina pombe Tamuu balaa...

Yaani ukishakuwa Tamuu..hata bar iwe wapi utaifuata tuu.....

Mimi kile kiosk nakunywaga bia sitaacha..
Haaaa haaa hii kitu ni kweli iseee, niliwahi kuishi Songea, pale town kuna pub inaitwa Vijana pub… yaani bila kunywea pale nilikua naona utamu wa pombe unapungua
 
Pombe utumika kama njia ya kubalance mambo yatokanayo na shida za kimfumo wa kufikiri ili kuleta usawaziko wa muda katika akili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom