Lengai Ole Sabaya rudi Arumeru uchukue jimbo ukimaliza kusambaratisha ngome ya Mbowe

cheetah255

JF-Expert Member
Oct 19, 2017
1,373
2,385
Moja kwa moja niende kwenye mada bila kumumunya maneno wala kupepesa macho.Lengai ole sabaya tumeona uwezo wako wa kujenga hoja kuongeza kwa uweledi na kutetea wananchi wanyonge.Niwazi kabisa huko ulipoteuliwa kuwa DC unamudu majukumu na utendaji wa haliya huu kabisa nikupe Kongole kwa kukubalika na wanachi wa hao kiasi kwamba umewafanya waelewe mbivu na mbichi ni zipi hadi kujutia kumkabizi jimbo lao mbowe na chama chake.
Piga kazi hapo hai kama DC ila ukumbuke arumeru unasubiriwa na wananchi ukachukue jimbo kwani wananchi hawajui kama wana mbunge au walichagua sanamu,kwakweli unahitajika sana arumeru zaidi ya oxygen kwa mgonjwa anayefanyiwa upasuaji.Uende arumeru Tafadhali ukaokoe wananchi wako tena ukifika usisahau kuwatembelea jirani zetu pale Arusha mjini uwape pole kwa kumuamini mkora aliegeuza jimbo kuwa kituo cha vurugu huku akijua kabisa Arusha ndio moyo wa uongozi bora na maadili ya nchi hii.Fanya hima maliza mabaki ya chadema hapo hai uende arumeru.
Onyo:Ni marufuku wachaga kucoment kwenye huu uzi nendeni kaanzisheni bandiko lenu.
 
Msalimie Lengai msosjut, mwambie mdegree badogo upo.....
Machalii tuliowalea pale jiji jipya wanaendeleaje na mama zao?
Tunamtakia heri ....
 
Akifika atajibu salamu.Mambo sio mambo huko jiji jipya inasikitisha jiji limeharibiwa na lema anafanya vurugu A town wakati kwao kuna amani.

Huyo Lengai tunamjua vizuri, alikuwa na tabia ya kujipendekeza na ana tabia ya kuomba sana bia. Kwa ujumla alikuwa kero sana bar kwenye bia za wanaume. Hana uwezo wa siasa za hoja zaidi ya siasa za kutegemea vyombo vya dola. Anaweza kwenda popote Tanzania hii akatangazwa mshindi wa uchaguzi sio kwa kura, bali kwa amri ya rais kuagiza vyombo vya dola na tume ya uchaguzi kuhakikisha anatangazwa mshindi.
 
Kuwa mpole mkuu hapa hakuna debe wa gunia kwani huoni jamaa avyo wazoa madiwani na wenyeviti huko hai.

Hizo siasa za kipuuzi za kwenda kutumia madaraka kunyanyasa watu ili wahamie ccm ni siasa za kizee ile mbaya. Halafu yeye ni kijana mwambie avae suruali zisizoingia subiyani, au havai chupi nini, maana waarusha na chupi ni mbalimbali.
 
Huyo Lengai tunamjua vizuri, alikuwa na tabia ya kujipendekeza na ana tabia ya kuomba sana bia. Kwa ujumla alikuwa kero sana bar kwenye bia za wanaume. Hana uwezo wa siasa za hoja zaidi ya siasa za kutegemea vyombo vya dola. Anaweza kwenda popote Tanzania hii akatangazwa mshindi wa uchaguzi sio kwa kura, bali kwa amri ya rais kuagiza vyombo vya dola na tume ya uchaguzi kuhakikisha anatangazwa mshindi.
Hizo ni hoja dhaifu sana kama anagongea beer that is private issue cha muhimu anasaidia wananchi na kusukuma gurudumu la maendeleo.
 
Hizo ni hoja dhaifu sana kama anagongea beer that is private issue cha muhimu anasaidia wananchi na kusukuma gurudumu la maendeleo.

Asaidie kusukuma maendeleo wakati yeye mwenyewe alikuwa anaomba bia? Mwambie ajitahidi kuvaa chupi kwani suruali inamuingia sana subiyani.
 
Arumeru ipi hiyo unayotaka kuizungumzia.....
Kama ni magharibi endelea kuota
Arumeru zote wananchi wamesha jitambua,magharibi anachukua Lengai kama mejooli atamuachia agombee na mashariki anachukua Dk.palanjo keshokutwa.
 
Kwani huyo Mejooli ni mbunge wa Arumeru? Mbona Mbunge wa Arumeru ni mwanachadema Fulani nimemsahau jina!!
 
Kwani huyo Mejooli ni mbunge wa Arumeru? Mbona Mbunge wa Arumeru ni mwanachadema Fulani nimemsahau jina!!
Mejooli ni kada wa ccm mwenye ushawishi sawa na lengai hakuna habari ya chadema na misukule yao tena arumeru.
 
Mejooli ni kada wa ccm mwenye ushawishi sawa na lengai hakuna habari ya chadema na misukule yao tena arumeru.

Hakuna ccm siku hizi bali kuna taasisi ya kidola iliyojivika koti la chama cha siasa. Kinachofanyika sasa ni kubaka box la kura wala sio uchaguzi. Wananchi wa Arusha wameshajitambua, hakuna popote ndani ya mkoa wa Arusha ambapo ccm inaweza kushinda kwa wingi wa kura. Watakachofanya wananchi wa Arusha wengi ni kutokijitokeza kwa wingi kupiga kura kwani hakuna ushindani bali kupotezeana muda.
 
Kiukweli awamu hii wabunge hata wa CCM hawaonekani kabisa majimboni.

Siasa za majukwaani zimehamia kwa MaDC na ma RC .
Wabunge wamefunikwa mpaka Bungeni wamebakia na mipasho tu mana hawajui matatizo ya wananchi majimboni kwao.
Hali ikiendele hivi patakua hakuna umuhimu wa kuwa na wawakilishi hao wanaoongeza gharama za kodi zetu.

Ndugai na Tulia wameshusha sana Heshma ya Wabunge na bunge .
Mfano tu Wabunge wengi wa upinzani hawaruhusiwi kufanya mikutano majimboni kwao tena walikozaliwa ambao kiuhalisia ndio wenye uchungu na ndugu zao .Badala yake wakuu wa Wilaya na mikoa wamekua ndio wafanya mikutano ya kisiasa na kuchukua maoni yale yaliyotakiwa yachukuliwe na Wabunge kupelekwa bungeni kama wawakilishi wa wananchi.
Hili limeanza kusambaa mpaka kwa wabunge wa CCM wamefunikwa na wengi wao watapigwa Chini na hao maDC na maRC kwa kuwa hata vyombo vya habari hawaonyeshi Bunge na wabunge wao hasa wakiwa majimboni hatangazi hata kwenye Ayo TV zaidi ya wakuu wa Wilaya na Mikoa.
Miaka ya nyuma Wakuu wa Wilaya walikua wanawaheshimu sana Wabunge na kuwaona kama muhimili wenye ushawishi mkubwa sana kwa kwa umma.
Kwa sasa Wabunge wameshushiwa heshima kutokana na Ndugai kuridhia wabunge kukamatwa kama vibaka hata ndani ya bunge.
Mbunge wake akapigwa risasi na Ndugai akashindwa hata kwenda kumsalimia na kumjulia hali ili angalau hata Serikali ipate majibu ya nini cha kufanya kumsaidia mgonjwa. Kama bosi wake alishindwa kufuatilia hali ya mgonjwa inakuaje kwa wengine?

Wabunge wajitathimini sio wasubiri uchaguzi ndipo waanze kampeni za kutafuta kula vizuri.
 
Back
Top Bottom