GE2025 Lengai ole sabaya autaka ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi

GE2025 Lengai ole sabaya autaka ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Nabii mmoja kasema wazi - Lissu yupo ndani wakati waliotakiwa kuwa ndani wanadumda mtaani na wanataka uwakilishi wa wanachi katika vyombo vikuu ya hadhi kubwa ya kutunha sheria na kusimamia Serikali.
Bila reforms hawa jamaa watatuchezea sana - ni muda sasa wa kuchora mstari mwekundu.

No Reforms No Election
 
Huyu kichwa mviringo Makalla alisoma chuo gani time management?

Kama kikao tu cha kuchuja majina kinakaa wiki nzima bila muafaka je vikao vya kujenga bwawa na umeme na Sgr vingechukua muda gani?
Je madudu waliyokuwa wanayatetea kwenye mkataba wa Dp world vipi?

Alafu wahuni kama hawa wasiojiweza kwa kila kitu wanataka waendelee kutawala mpaka 2030!!
 
Kapata??? Ukuu wa wilaya tu kabaka na kukata watu masikio, akiwa mbunge sipati picha
 
Back
Top Bottom