GE2025 Lengai ole sabaya autaka ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi

GE2025 Lengai ole sabaya autaka ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Mungu wa kaliba gani anamuongelea?
Mungu huyo huyo unayemkosea wewe kila siku na anakusamehe unapotubu

Ni huyo huyo anayemsema Sabaya

Mungu wa rehema asiye na mawazo kama yenu binadamu, ndiye anayemsema Sabaya

Mungu anayeamua kumridhia yeyote hata masikini anamridhia na kukmalisha na wakuu

Ni huyo huyo anayeinua watu na kuwashusha

Na jina lake yeye huitwa, NIKO AMBAYE NIKO, ADONAI, ELIGIBLE, ELISHADAI, YAHWEH, ndiyo huyo atakayesema ndiyo au hapana

Na kwake yote ni mema
 
Mungu huyo huyo unayemkosea wewe kila siku na anakusamehe unapotubu

Ni huyo huyo anayemsema Sabaya

Mungu wa rehema asiye na mawazo kama yenu binadamu, ndiye anayemsema Sabaya

Mungu anayeamua kumridhia yeyote hata masikini anamridhia na kukmalisha na wakuu

Ni huyo huyo anayeinua watu na kuwashusha

Na jina lake yeye huitwa, NIKO AMBAYE NIKO, ADONAI, ELIGIBLE, ELISHADAI, YAHWEH, ndiyo huyo atakayesema ndiyo au hapana

Na kwake yote ni mema

Unajuaje huyo ndo Mungu wangu? Unanihukumu bila sababu, Mimi nimekueleza Mungu wangu ni yupi? Au unanipangia?
 
Unajuaje huyo ndo Mungu wangu? Unanihukumu bila sababu, Mimi nimekueleza Mungu wangu ni yupi? Au unanipangia?
Hapana, sijakuhukumu Mkuu,

Kama una Mungu, bila shaka pia unajua kusamehe, na kwamba, Mungu aliyempole na mwenye upendo, yapaswa tuuige upendo wake ili tuwapende watu wowote alimradi tu kawaumba yeye
 
Siasa ya Arusha inaenda kuchangamka tena kipindi hiki ushindani mkubwa ukiwahusu wanasiasa wa CCM.
Tusubiri tuone
 
Ametia Nia au Ameonesha hamu ya kugombea????
 
Hivi huyu si aliwahi kufungwa?
Katiba inasemaje?
 
Kijana machachari asiye vumilia wazembe na wababaishaji na aliyeweza kumsitafisha siasa Freeman Mbowe kwenye jimbo lake la Hai ,bwana Lengai Ole Sabaya leo tarehe 1 July amechukua fomu ya kuomba kugombea ubunge katika jimbo la Arumeru magharibi.
Lengai Ole Sabaya mara baada ya kuchukua fomu alikataa kuongea chochote na waandishi wa habari na kuishia kutoa kauli ya kwamba anamwachia Mungu afanye kazi huku akiondoka kwa kuangua kilio, hasa anapokumbuka namna siasa ilivyomjeruhi pale alipobambikwa tuhuma mbalimbali za uongo na Chadema.
 
Kijana machachari asiye vumilia wazembe na wababaishaji na aliyeweza kumsitafisha siasa Freeman Mbowe kwenye jimbo lake la Hai ,bwana Lengai Ole Sabaya leo tarehe 1 July amechukua fomu ya kuomba kugombea ubunge katika jimbo la Arumeru magharibi.
Lengai Ole Sabaya mara baada ya kuchukua fomu alikataa kuongea chochote na waandishi wa habari na kuishia kutoa kauli ya kwamba anamwachia Mungu afanye kazi huku akiondoka kwa kuangua kilio, hasa anapokumbuka namna siasa ilivyomjeruhi pale alipobambikwa tuhuma mbalimbali za uongo na Chadema.
Haaaaaaaaaa
Hata majambazi na wauaji nao wanautqkq ubunge? Makubwa haya mungu wangu.
Hivi ccm mnatuchukuliaje nyie??
 
Back
Top Bottom