Unajuwa kwamba dollar 5000 ni zaidi ya Tsh 10 million?Ivf ipo overated hapo mikocheni ni dolar 5000 tu.madawa unanunua mwenyewe na clinic unaenda za kawaida.ukijipeleka huko upewe kila kitu ni hela ndefu sana bila sababu.
picha ya kibamia auweka kapicha tafadhali
AtaghafullilahKwa hiyo huyo queen atavumilia kile kibamia cha King...
Nimecheka sana eti the woman of his dreams, hadi umri huo bado ana dream ?Wale mliokuwa mnasubiri zali la kuwa queen of social media networks mmechelewa the king himself is now engaged to a woman of his dreams.
Wifi aliyepatikana kigezo chake kikubwa ni kuto MUOGOPA MANGE, kumbe wengi walifeli mtihani wa kuwa Mrs Lemutuz kwa kumuogopa dada wa taifa.
Mbona hapo hajatukana. Hua Ana mdomo mchafu mnoHuyo Mangi Kimambi kumbe yuko kote kote, hata kwenye mitusi pia, nilifikiri ni mwanahakati tu!
Queen of all Bongo Social mediaweka kapicha tafadhali
Ni drama zake tu kama za skuzoteYa wifi sina nina ya Pete ya uchumba
Mbn hana chura?Queen of all Bongo Social mediaView attachment 831253
DuuhJokate sio single nmke wa jiwe
Le mutuz hapendi matukunyema anataka vipotaboMbn hana chura?