Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

Status
Not open for further replies.
Hahaha, jamaa sio limbukeni ila amejua kuwa watz sisi wengi Ni limbukeni ndo maana anablend , wewe ukisoma hiyo caption unapata hata hasira lakini Cha kushangaza jamaa Ana wainfluence watanzania wengi tu. Unakuta wanaacha comments kbsa kwenye posts zake wakimsifia.
 
Naona wengi mnampondea le mobimba lakini nadhani huo ni uhuru wake as long as havunji kanuni na sheria za nchi, Anajipatia kipato kihalali na kaajiri watu pia kitu ambacho wengi mnaompondea hamjakifanya!!

Dunia hii yenye watu zaidi ya bilioni 7 sasa hatuwezi wote kuwa sawa kimaisha na namna ya kuyaishi hayo maisha....!! I stand to be corrected through valid justifications.
 
Nadhani Kitu cha Msingi alichotakiwa kutuambia ni kuwa anaumwa tu na kwamba anatuomba tumuombee lakini hizo sijui AC mara Five Star Hotel na Hospitali aliyopo ni Siri nadhani Kwangu Mimi hapo amezidi kutuonyesha ' Udhaifu ' wake mkubwa wa Akili / Upeo.

Sasa unapoficha hadi Hospitali wakati kuna Watu kama akina GENTAMYCINE wana ' Upako ' wa moja kwa moja kwa Kumshika au Kumgusa Mtu ' directly ' na anapona kweli kwa hapa Msaada wangu Kwake nitautoaje kama hata Hospitali tu aliyopo sasa ni Siri?

Natamani sana Siku nipate wasaa ' Maalum ' tu niweze kufanya ' Exclusive Interview ' na Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Malecela niweze Kumuuliza Swali langu ambalo linanitatiza Siku nyingi kwamba huyu kweli ni Mwanae ' Biologically ' au labda amesingiziwa au ni Mtoto wa Kaka yake kwani sioni Uhusiano wa Busara na Uwezo mkubwa wa Hekima wa Mzee Malecela na Yeye ( huyu Mgonjwa wa AC )

Mtoto wa Kiume AC tu inakusumbua si hatari sana hapa na tayari umeshatuonyesha jinsi ulivyo ' Nyoro Nyoro / Legevu Legevu ' kabisa. Halafu kwa Mtoto wa Kiume ambaye kila Asubuhi Mnara wako wa Babeli unasimama kuja Mitandaoni na ' Kudekadeka ' kuwa unaumwa Ugonjwa wa ' AC ' ni ishara tosha ya ' Uvimelea ' vya Ukike Kike.

Mtoto wa Kiume unatakiwa Kuugua Magonjwa kama ya Kuvimba Pumbu / Kende, Mboo kuzidi Urefu, Gono, Kaswende, Kutiririka kwa Kasi kwa Shahawa nyingi Mbooni / Uumeni / Mkuyengeni na Tezi Dume ila siyo Kuugua Ugonjwa wa Kike Kike wa ' AC '. Siku zingine acheni ' Kutudhalilisha ' Wanaume wenzenu humu Mitandaoni.
Aaa mkuu naona umetembea speed 180/h .umeamua hasira uzitoe zote,ila mtoto wa kiume ugonjwa wa ac .apa wenye IQ za kati tulifika mbali nilitaka ni google huu ugonjwa.akikaa mbeya si atakuwa wakukumbatiwa huyu.Au ni punga mkuu?
 
mm naona baba yake mzee Malichela kimoyomoyo naumia sana kwa kupoteza bao lake kwa mtoto kama huyu,kina Makamba,kikwete,kawawa,Nyerere watoto wao wametulia sana kuliko hili jamaa
Baba yake yupo?
 
mm naona baba yake mzee Malichela kimoyomoyo naumia sana kwa kupoteza bao lake kwa mtoto kama huyu,kina Makamba,kikwete,kawawa,Nyerere watoto wao wametulia sana kuliko hili jamaa
Hata huyu le mutuz dada zake wamefanikiwa kweli kuna mmoja ana PHD mwingine Jaji nazani huyu tu ndio mzee alipata hasara alikataa shule akawa anajifanya ni mission town mpaka leo hajatoboa na miaka yake 65 jamaa ana mvi kama lowasa ndio mana ananyoa nywele aonekane kijana
 
mm naona baba yake mzee Malichela kimoyomoyo naumia sana kwa kupoteza bao lake kwa mtoto kama huyu,kina Makamba,kikwete,kawawa,Nyerere watoto wao wametulia sana kuliko hili jamaa
Huyu na akina JK hawajapishana zaidi ya miaka 10
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom