King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,644
- 68,598
Jamaa ana Mapagale yake mawili ya kawaida kutwa kujiita baba mwenye nyumba,hivi angekuwa na jumba kama la Lugumi moja si Dunia nzimba ingejua kwa mapromo? Nyumba zenyewe hata finishing hajafanya!!