Wamesharudi, ni taarifa ya nyuma. Hata Mh Mnyika alikuwapo huko na leo una mbona Dar alikuwa na na wafanyabiashara akiwa na wabunge wenzie wa Dar. Hata hivyo hizi ziara za wabunge nje ya nchi ni upole u tu wa fedha. Ingekuwa na tija kama wangebweteka watendaji kwani ingekuwa endelevu.Nimeshangaa kumuona lembeli akiqa ziarani mjini addis ababa ile hali jimboni kwake kuna mahafa na wananchi wa naomba msaada yeye anafanya ziara ambayoo mm nahitaa ya anasa
***vumiliatukutaneoctober******