Mwizi tu akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira alikua anakwenda Mgodi wa North Mara kuchukua bahasha za hela na kulidanganya bunge utiririshaji wa maji ya Sumu mto Mara kule North Mara eti leo mnamuita jembe teh teh teh uwiii kweli CDM pango la wahamiaji haramu aende tu maana huku angekatwa tu!!