kitakali kiwofu
Senior Member
- Oct 3, 2013
- 173
- 24
go LEMA!GO..WE ARE TOGETHER
lema amesema mahakama ya hospitali, sijui ndio ipi hiyo wakuu
pengine ndo maana leo amekaa karibu sana na Zitto pale bungeni anayatafuta kwa njia yeyote ayaweke hadharani. Chezea Lema wewe.Kwanini asiyatafute yeye.
ila anapenda majungu.Lema hapendi unafiki.Sijui kutaja majina hayo kunahitaji rituals
kama hapendi unafiki mbona hasemi ya mboe,kwa sababu anakamgao ka ruzuku ndugu, usituvishe miwani ya mbao weweLema hapendi unafiki.Sijui kutaja majina hayo kunahitaji rituals
lema amesema mahakama ya hospitali, sijui ndio ipi hiyo wakuu
labda kaikumbuka hosptitali ya mirembe
Lema hapendi unafiki.Sijui kutaja majina hayo kunahitaji rituals
ila anapenda majungu.
kweli huyu mtu amevurugwa sio bure.. wakiambiwa wasikimbie hospitali na wamalize dozi wanakuwa wakali
Lema hapendi unafiki.Sijui kutaja majina hayo kunahitaji rituals
Lema hajui kuongea bungeni. mfundisheni namna ya kuwasilisha hoja bungeni. sio anaongea kama yuko na kwenye mkutano wa hadhara.