FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Huyu Tamu Chungu SIAMINI KAMA YUKO TIMAMU, NILIDHANI ANGEJIKITA KTK HOJA ZA MSINGI KIMSUGUANO....kaanzisha hoja humu ya ajabu ajabu na imefutika ghafla lakini kuna hoja kwa hawa jamaa wawili....
"ZITO" AMEITAKA SERIKALI ISIOMBE GRACEPERIOD JUU YA WALIOFICHA HELA NJE YA NCHI NA AKASEMA SIYO ZA USWISWI KWANI NI BILIONI MIA TATU KADHAA WAKATI JERSEY ISLAND KUNA MORE THAN A TRILION.....AKAHITIMISHA KUWA MAJINA YAKITAJWA HAYATASAIDIA ILA LEO KAONGEZA WIGO KWA KUDAI WANAOFICHA HELA HIZO NI PAMOJA NA MAKAPUNI YALOWEKEZA HAPA NCHIN....
"LEMA" AMEANZA KWA KUITAKA SERIKALI KUMALIZA HII NGONJERA YA MABILIONI YA USWISWI KWA KWA KUWAWEKA HADHARANI WAHUSIKA WOTE, AKASISITIZA KWA KUSEMA ALIPOKETI ZITTO NI KARIBU NA MWANASHERIA MKUU WA SIRIKALI, AMEWAOMBA WAPEANE HAYO MAJINA NA KAMA KUWATAJA WAHUSIKA NI TATIZO BASI WAMPE MAJINA HAYO NDANI YA BUNGE AU NJE YA BUNGE NA YEYE ATAWATAJA WAHUSIKA NDANI YA BUNGE NA NJE YA BUNGE PASIPO KUHITAJI ULINZI MAANA ATAYAWEKA HADHARANI.....ANAENDELEA KUSEMA KWAKE LA MUHIMU NI KUKAMATA MWIZI NA KUMWEKA HADHARANI NA SI KUENDEKEZA VIBAKA WAFUNGWE !!!!
SASA KAMA HILI NDILO ULILOTAKA KUTUAMBIA BASI NIMEKUSAIDIA KUWEKA WAZI YALOZUNGUMZWA NA WAWILI HAWA .....
Naamini magazetini kesho kuna heading juu ya hili....la muhimu tuangalie hoja ya mtoa uzi huu uliopo juu ya mgongano wa waziwazi ulionekana leo Bungeni....
Nani yuko sahihi kati ya Zito na Lema? Kwa faida ya Umma au zao Binafsi? Tuwapime hawa jamaa....tupime sakata hili kwa uzito wake na tuhitimishe ni nani hasa ana nia ya dhati ya kutoa dawa ya kudumu....
"ZITO" AMEITAKA SERIKALI ISIOMBE GRACEPERIOD JUU YA WALIOFICHA HELA NJE YA NCHI NA AKASEMA SIYO ZA USWISWI KWANI NI BILIONI MIA TATU KADHAA WAKATI JERSEY ISLAND KUNA MORE THAN A TRILION.....AKAHITIMISHA KUWA MAJINA YAKITAJWA HAYATASAIDIA ILA LEO KAONGEZA WIGO KWA KUDAI WANAOFICHA HELA HIZO NI PAMOJA NA MAKAPUNI YALOWEKEZA HAPA NCHIN....
"LEMA" AMEANZA KWA KUITAKA SERIKALI KUMALIZA HII NGONJERA YA MABILIONI YA USWISWI KWA KWA KUWAWEKA HADHARANI WAHUSIKA WOTE, AKASISITIZA KWA KUSEMA ALIPOKETI ZITTO NI KARIBU NA MWANASHERIA MKUU WA SIRIKALI, AMEWAOMBA WAPEANE HAYO MAJINA NA KAMA KUWATAJA WAHUSIKA NI TATIZO BASI WAMPE MAJINA HAYO NDANI YA BUNGE AU NJE YA BUNGE NA YEYE ATAWATAJA WAHUSIKA NDANI YA BUNGE NA NJE YA BUNGE PASIPO KUHITAJI ULINZI MAANA ATAYAWEKA HADHARANI.....ANAENDELEA KUSEMA KWAKE LA MUHIMU NI KUKAMATA MWIZI NA KUMWEKA HADHARANI NA SI KUENDEKEZA VIBAKA WAFUNGWE !!!!
SASA KAMA HILI NDILO ULILOTAKA KUTUAMBIA BASI NIMEKUSAIDIA KUWEKA WAZI YALOZUNGUMZWA NA WAWILI HAWA .....
Naamini magazetini kesho kuna heading juu ya hili....la muhimu tuangalie hoja ya mtoa uzi huu uliopo juu ya mgongano wa waziwazi ulionekana leo Bungeni....
Nani yuko sahihi kati ya Zito na Lema? Kwa faida ya Umma au zao Binafsi? Tuwapime hawa jamaa....tupime sakata hili kwa uzito wake na tuhitimishe ni nani hasa ana nia ya dhati ya kutoa dawa ya kudumu....