Dah mbona Tanesco waliomba kupandisha bei wakatangaza kabisa hayo malumbano ya hoja hayakufanyika bei imepanda ndo malumbano ya hoja na je baada ya hapo bei itashuka au itapanda maana kama malumbano kuna pande mbili zinazosapoti na kupinga huu ulikuwa wakati wa kutake to the street sio malumbano tena wa Tz bana!