huyo nchimbi atuweke wazi na aliyemtuma kulipua kanisa na mkutano wa chadema Arusha....
Walikuwa MBunge wa Arusha Mjini -Lema na Albert Obama -Manyovu Kigoma kipindi ni Uzalendo ,mada Tokomeza majangiri Isakwisa naona kama moderator kama hataingiliwa kipindi kitapendeza sana
Waliuizwa taratibu nji na maauziwalyofanya kama wbne uwasulubu maaziri mpaa wakajiuzuru na wenine kufukuzwa, Ripoti ya kamati ya Lembeli na Caucus ya CCM na mammuzi yao na walivyoweza kuuuungana na upinzani kuhakikisha seriali inawajibishwa
Albert alisema umoja wa wabunge wa CCM kwa kusaidiwa na wabunge wa upinzani ndio ulipelekea maamuzi hayo yaliyotokea na akasema walijadili sana kwenye caucus yao na walimwomba waziri Pinda ahakikishe Mawaziri wanawajibika baada ya kuulizwa swali na Isakwisa kwamba mbona nyie CCM muliacha kutetea wananchi waliodhurumiwa haki yao na kuteswa ambapo wapinzani walikuwa kifua mbele kutetea
Baadaye Isakwisa alimuuliza Lema ,Lema alisema operesheni yenyewe ilifanywa vibaya kwani kamati za usalama kwenye maeneo husika walikuwa hawajapewa habari wala kushirikishwa kwenye operation imagine mkuu wa usalama wilaya ,mkoa,police kwenye eneo husika hawajui ,hao wafanya operation wangefanikiwaje
Akaendelea kusema wana CCM katika hili walijivika utaifa kwa kuigiza kwa sababu kuna maswali mengi ambayo walitakiwa kuyazungumzia wamezungumzia lipoti ya kanisani la olasiti kwa sababu wakatoliki ni wengi na mtandao nchi nzima wanajua kamati ikiongelea wakatoliki watapata kula kwa sababu hakukuwa na sababu ya kuacha kuongelea bomu la Soweto ambako wabunge wenzao wangeliuliwa siku hiyo
Akaendelea kusema kama wameshindwa kuongelea habari za wabunge wenzao,watoto wane na watu wazima waliokufa na wananchi wengine 120 utasema walikuwa na dhamira ya kweli hapana ni maigizo
Alisema pia yeye kama mbunge ameongea bungeni kwamba bunge liidhinishe kumtaka raisi aunde tume ya kijaji kuchunguza bomu la Soweto akasema serikali ya CCM na usalama wa taifa na polisi walikuwa wanamlazimisha mwananchi Fulani AMTAJE LEMA KWAMBA NDIYE ALIYERUSHA BOMU ANASEMA KILICHOMUOKOA HUYO MTU ALIYEPIGWA KIASI CHA KUSHINDWA KUTEMBEA NI KWAMBA ALIFUNGWA JELA MIAKA THELATHINI BOMU LIKITUPWA ALIKUWA HAJATOKA JELA NA ALIKAATAA KUSEMA KAMA POLISI WALIVYOTAKA JAPO ALIUMIZWA SANA
aNASEMA ALIMLETA MTU HUYO BUNGENI ATOE USHAHIDI MBELE YA WAZIRI MKUU SPIKA HAKUMPA NAFASI
aNASEMA WA KUWAJIBISHWA NI YULE ALIYETOA AMRI YA KUFANYIKA KWA OPERETION AMBAO NI rAISI,cdf,NA igp